Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Unajua ni vyema aukabili ukweli, Kama ni pabaya arudi tu.Anataman kurud ila akiangalia hali sio hali.. bora abakie huko huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua ni vyema aukabili ukweli, Kama ni pabaya arudi tu.Anataman kurud ila akiangalia hali sio hali.. bora abakie huko huko
unawaza kula tuu.muoneTz usije
Huku mchele unakaribia kufika afu5
binti wewe unanyumba au kibanda👏Huku bongo kibarua wa kiwandani analipwa elfu 4-8.
Danganywa na watu waliojaribu kuondoka nchini wakashindwa sababu hawana qualification zinazohitajika kwenda nchi za watu. Wanataka urudi mpauke kwa pamoja.
Danganywa na watoto wa walamba asali uje uungue jua bongo!
Eti nyumba nyumba! mna nyumba ninyi wabongo au mna vibanda? labda 20% ya wabongo ndio wana nyumba.
🤣🤣🤣🤣🤣mtamfanya asirudiTz usije
Huku mchele unakaribia kufika afu5
Sina nyumba wala kibanda mkuu!b
binti wewe unanyumba au kibanda👏
Karibu O block chi town tumuenzi Odee!!!Jiunge na piru gangs ufurahie maisha hapo Harlem!!!😎😎Ama hakika maisha ya ughaibuni kwa ujumla yamenichosha jamani yaanj sio poa kabisa yaani kutwa kushinda uko pekee yako hamna vijiwe vya kahawa na kashata kama huko bongo yaanj kutwa kufanya kazi saving ni kipengele sana kwasababu unafanya kazi mara ulipie mortgage, mara ilipie car rent hamna kuwapiga watu mizinga kama huko kwenu
Baada maisha ya new Harlem New York kunishinda nimeamua kuhamia Wisconsin angalau nipunguze Gharama ya maisha kidogo maana maisha yalikuwa sio poa viwanja vya starehe ni gharama sana nataka nipambane kidogo nihamie Kentucky nika hang na waAfrika wenzangu angalau nitaenda kupata miguu ya kuku kama huko uswahilini aisee
Nikome Sasa hivi n babe wangu kama wewe ni hanisi hadi Leo shida zako mtu mwak Jana mzima Wala Huna babe hadi leo Carrasco putin njoo huyu anamsema babe wako vibaya 😰Hebu pambana kijana, maana ukirudi dishi linaweza cheza au kuyumba Kama Hawa kina GENTAMYCINE, Chizi Maarifa mpwayungu village na Unique Flower
sawa njoo tukae kwenye kibanda changu kamahuto jali👏Sina nyumba wala kibanda mkuu!
Hilo jina lako tu linaakisi ulivyo. Kama umri wako ni 50+ rudi tu bongo.Ama hakika maisha ya ughaibuni kwa ujumla yamenichosha jamani yaanj sio poa kabisa yaani kutwa kushinda uko pekee yako hamna vijiwe vya kahawa na kashata kama huko bongo yaanj kutwa kufanya kazi saving ni kipengele sana kwasababu unafanya kazi mara ulipie mortgage, mara ilipie car rent hamna kuwapiga watu mizinga kama huko kwenu
Baada maisha ya new Harlem New York kunishinda nimeamua kuhamia Wisconsin angalau nipunguze Gharama ya maisha kidogo maana maisha yalikuwa sio poa viwanja vya starehe ni gharama sana nataka nipambane kidogo nihamie Kentucky nika hang na waAfrika wenzangu angalau nitaenda kupata miguu ya kuku kama huko uswahilini aisee
Sawa mkuu! Nipe location. 😅sawa njoo tukae kwenye kibanda changu kamahuto jali👏
Unataka ukapige watu mizinga, mhhAma hakika maisha ya ughaibuni kwa ujumla yamenichosha jamani yaanj sio poa kabisa yaani kutwa kushinda uko pekee yako hamna vijiwe vya kahawa na kashata kama huko bongo yaanj kutwa kufanya kazi saving ni kipengele sana kwasababu unafanya kazi mara ulipie mortgage, mara ilipie car rent hamna kuwapiga watu mizinga kama huko kwenu
Baada maisha ya new Harlem New York kunishinda nimeamua kuhamia Wisconsin angalau nipunguze Gharama ya maisha kidogo maana maisha yalikuwa sio poa viwanja vya starehe ni gharama sana nataka nipambane kidogo nihamie Kentucky nika hang na waAfrika wenzangu angalau nitaenda kupata miguu ya kuku kama huko uswahilini aisee
Hadi may utafikaTz usije
Huku mchele unakaribia kufika afu5
ngoja nije chap kukuelekeza...Sawa mkuu! Nipe location. 😅
Mapema hivyoMwenzio lisu anatamani kurudi Belgium
Kipenz mida ya kulala hii achana na hao chaputaNikome Sasa hivi n babe wangu kama wewe ni hanisi hadi Leo shida zako mtu mwak Jana mzima Wala Huna babe hadi leo Carrasco putin njoo huyu anamsema babe wako vibaya 😰