Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwambie huyo !!!
Hakuna haja ya kuchanganyikiwa mkuu,wewe pambana tu, tafuta biashara kama za mazao uwe unaleta mjini wakati unaendelea na kazi. Achana na mawazo ya ki-Dar es salaam, pigana tafuta hela. sisi tunakuja vijijini kutafuta mashamba ili kuongeza kipato wakat tunaendelea na kazi, na inatugharimu kwani inabidi uweke msimamizi sababu tuko mbali. Ila wewe ukiamua kutuliza akili, aaah muda mfupi tu utakua mbali sababu utakua unasimamia vyema. Pole kwa mazingira mapya.muandae mdogo wako psychologically miye hapa nshaharibikiwa !
Acha uwoga. Komaa na hayo mazingira, na hivi ni damu changa, Mawazo yako na vitendo chanya vinahitajika kuleta mabadiliko katika hayo mazingira.
Daaah! Baada ya kufurahia mapokezi yote toka halmashauri mmmmh pozi limeniisha baada ya kufika kituoni!....... Mama wee! kweli na miaka yangu 3 na mavyeti yangu ng'aring'ari na urembo wangu huu !! Niishi huku? Yani daaaah wallah nisijekufelisha watoto wa watu kwa makusudi !......... ,yani nimeangalia sura za wanafunzi naona zimechooka sijui ndo wamekata tamaa khaa!!............ hiyo nyumba sasa tuliyoandaliwa mama wee hapo ndo pamenichoshaa kinyumba kibaya hichoo aisee nicjebakwa huku mtoto wa watu, huo usafiri sasa kwenda mjini mwisho wa mwezi!! Aaagh narudi kwetu sitaki tena watanizeesha !!!
unaimba ama?
Daaah! Baada ya kufurahia mapokezi yote toka halmashauri mmmmh pozi limeniisha baada ya kufika kituoni!....... Mama wee! kweli na miaka yangu 3 na mavyeti yangu ng'aring'ari na urembo wangu huu !! Niishi huku? Yani daaaah wallah nisijekufelisha watoto wa watu kwa makusudi !......... ,yani nimeangalia sura za wanafunzi naona zimechooka sijui ndo wamekata tamaa khaa!!............ hiyo nyumba sasa tuliyoandaliwa mama wee hapo ndo pamenichoshaa kinyumba kibaya hichoo aisee nicjebakwa huku mtoto wa watu, huo usafiri sasa kwenda mjini mwisho wa mwezi!! Aaagh narudi kwetu sitaki tena watanizeesha !!!