Nimechoka mwili na roho mwalimu miye loh!!!

Nimechoka mwili na roho mwalimu miye loh!!!

Nakumbuka uliniponda nilipoweka uzi wangu wakususia kwenda serengeti!bora umejionea mwenyew njoo mjini private zinalipa hadi laki9 take home kama cheti kipo poa......

huku ni shidaaa!! Nipo poa kabisaaaa! Ngoja nchek upepo !ntakuja!
 
Daaah! Baada ya kufurahia mapokezi yote toka halmashauri mmmmh pozi limeniisha baada ya kufika kituoni!....... Mama wee! kweli na miaka yangu 3 na mavyeti yangu ng'aring'ari na urembo wangu huu !! Niishi huku? Yani daaaah wallah nisijekufelisha watoto wa watu kwa makusudi !......... ,yani nimeangalia sura za wanafunzi naona zimechooka sijui ndo wamekata tamaa khaa!!............ hiyo nyumba sasa tuliyoandaliwa mama wee hapo ndo pamenichoshaa kinyumba kibaya hichoo aisee nicjebakwa huku mtoto wa watu, huo usafiri sasa kwenda mjini mwisho wa mwezi!! Aaagh narudi kwetu sitaki tena watanizeesha !!!
huu ni uzembe wa kufikiria, inawezekanaje usome toka mwaka wa kwanza usijue mazingira tarajiwa ya kazi yako? ulikuwa hujui shule zinapatikana wapi ? pamoja ya hayo ulipaswa pia kujua mazingira ya sasa na sera za nchi, mbona taarifa kila mwaka zinatolewa na walishasema wanasitisha kupeleka walimu mijini maana shule za vijijini ndio zina uhitaji mkubwa wa walimu. NARUDIA TENA KUWA HUU NI UZEMBE ULIFANYA. mimi nilipomaliza kidato cha sita na hata kabla sijapanga nikasome nini nilikuwa naangalia nikisema ualimu lazima nitafundisha vijijini maana shule zipo huko, hata ukienda afya tegemea hali hii, lakini ukisoma electronics, IT, ICT, TELECOM, CHEMICAL ENGINEERING, MEDICINE wewe kupelekwa kijijini sahau na nililijua hili mapemaaaaaaaaaaa, sasa mtaalamu wa medicine ataendaje kijijini ambako hakuna hata umeme na vifaa vingi ni electronics, hapo utaambiwa mara wilayani, mara mkoani hapohapo.

USHAURI WANGU KWAKO.
USIKIMBIE KAZI KWA KUWA UMESHARIPOTI KAZINI. vumilia huku unaangalia namna ya kupata uhamisho hata kama itachukua ka muda lakini usipoteze kazi. hii kazi baada ya miaka minne itakuwa kama almasi yaani afrika mashariki yote inapatikana mwadui peke yake. labda uwe mwalimu wa sayansi lakini kama ni wa arts vumilia tu dada yangu na hakuna kitu kirahisi katika maisha na hiyo ni sehemu ya historia yako. wewe unafikiri babu zako waliishi wapi kama si vijijini, mbona utapazoea tu. tena kama ukipata na husband hukohuko itakusaidia kupunguza machungu maana utakuwa unawaza baby wako na kujikuta umezoea. UNLESS kama utakuwa na expected husband wako aliyeko sehemu nyingine kama kazi zake zipo town basi huyo ndo wa kuishi kwake. HOW inabidi uingie ghara usome tu masters kwa kuunganisha na ukimaliza masters wewe si wa kukaa tena huko bush na utaenda kuishi na mumeo huko town na kazi utapata na hivi vyuo kibao siku hizi. NIMEMALIZA. bitter and sweety
 
ha ha loh jaman haja kubwa je?
this is not so difficult. hili linarekebishika kirahisi mbona kama walimu wako serious hata wenyewe wanaweza weka mambo sawa. poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ila ndo ukubwa huu.
 
Pole mpenzi am speechless kumbe ukimya huu umekimbilia huko?
Fanya mpango wa uhamisho fast fasta ikiwezekana Honga fedha
 
Sasa mwaka 2008 Nlipangwa Bagamoyo hifadhini ndani sana na me nilidata mara za1 ila unakaa unazoea na baada ya3 year nikahama,nitafute nkushauri namna ya kuhama 0759063942
 
Pole mpenzi am speechless kumbe ukimya huu umekimbilia huko?
Fanya mpango wa uhamisho fast fasta ikiwezekana Honga fedha

yani my dia we acha tu naangaliana na maua ya alizeti tu hapa karibia nitafanana nayo !! Nafanya process ikibidi nitoke ! I wish uje upaone loh !!
 
Sasa mwaka 2008 Nlipangwa Bagamoyo hifadhini ndani sana na me nilidata mara za1 ila unakaa unazoea na baada ya3 year nikahama,nitafute nkushauri namna ya kuhama 0759063942

okey ntakutafuta !!
 
this is not so difficult. hili linarekebishika kirahisi mbona kama walimu wako serious hata wenyewe wanaweza weka mambo sawa. poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ila ndo ukubwa huu.

mmh haya bwana asante kwa ushauri wako !!
 
Daaah! Baada ya kufurahia mapokezi yote toka halmashauri mmmmh pozi limeniisha baada ya kufika kituoni!....... Mama wee! kweli na miaka yangu 3 na mavyeti yangu ng'aring'ari na urembo wangu huu !! Niishi huku? Yani daaaah wallah nisijekufelisha watoto wa watu kwa makusudi !......... ,yani nimeangalia sura za wanafunzi naona zimechooka sijui ndo wamekata tamaa khaa!!............ hiyo nyumba sasa tuliyoandaliwa mama wee hapo ndo pamenichoshaa kinyumba kibaya hichoo aisee nicjebakwa huku mtoto wa watu, huo usafiri sasa kwenda mjini mwisho wa mwezi!! Aaagh narudi kwetu sitaki tena watanizeesha !!!


Uwiiiii Munkari mbavu zangu mie mkoa gan huo walokupeleka nimechekaje ........ you made my day. ila pole sn fanya mchakato wa kuhama ila uctoke kinyemela mg dear
 
Sasa mwaka 2008 Nlipangwa Bagamoyo hifadhini ndani sana na me nilidata mara za1 ila unakaa unazoea na baada ya3 year nikahama,nitafute nkushauri namna ya kuhama 0759063942

Te te teeee wacha weweee
 
Daaah! Baada ya kufurahia mapokezi yote toka halmashauri mmmmh pozi limeniisha baada ya kufika kituoni!....... Mama wee! kweli na miaka yangu 3 na mavyeti yangu ng'aring'ari na urembo wangu huu !! Niishi huku? Yani daaaah wallah nisijekufelisha watoto wa watu kwa makusudi !......... ,yani nimeangalia sura za wanafunzi naona zimechooka sijui ndo wamekata tamaa khaa!!............ hiyo nyumba sasa tuliyoandaliwa mama wee hapo ndo pamenichoshaa kinyumba kibaya hichoo aisee nicjebakwa huku mtoto wa watu, huo usafiri sasa kwenda mjini mwisho wa mwezi!! Aaagh narudi kwetu sitaki tena watanizeesha !!!

jumatatu rudi halmashauri ukakichafue wakubadilishie kituo...natumai being woman itakusaidia... kwani unepangiwa kijiji gani isije ikawa uko puma.dung'unyi au mkalama ukawa unalalamika..ni wapi huko sista....nilifanya kazi huko kwa miaka mitatu na nikahama.. naweza nikakupa techniques nlizotumia wakanikubalia kuchomoka
 
Daaah! Baada ya kufurahia mapokezi yote toka halmashauri mmmmh pozi limeniisha baada ya kufika kituoni!....... Mama wee! kweli na miaka yangu 3 na mavyeti yangu ng'aring'ari na urembo wangu huu !! Niishi huku? Yani daaaah wallah nisijekufelisha watoto wa watu kwa makusudi !......... ,yani nimeangalia sura za wanafunzi naona zimechooka sijui ndo wamekata tamaa khaa!!............ hiyo nyumba sasa tuliyoandaliwa mama wee hapo ndo pamenichoshaa kinyumba kibaya hichoo aisee nicjebakwa huku mtoto wa watu, huo usafiri sasa kwenda mjini mwisho wa mwezi!! Aaagh narudi kwetu sitaki tena watanizeesha !!!

binafsi ningefurahia. mlifuata boom mnategemea nn? amishieni MMU topic hii
 
Uwiiiii Munkari mbavu zangu mie mkoa gan huo walokupeleka nimechekaje ........ you made my day. ila pole sn fanya mchakato wa kuhama ila uctoke kinyemela mg dear

jaman CALMAN yani unanicheka wakati mwenzio nalia hapa ha ha dah si huku kwa wanyantuzu sijui wanyaturu aagh!!
 
Last edited by a moderator:
jumatatu rudi halmashauri ukakichafue wakubadilishie kituo...natumai being woman itakusaidia... kwani unepangiwa kijiji gani isije ikawa uko puma.dung'unyi au mkalama ukawa unalalamika..ni wapi huko sista....nilifanya kazi huko kwa miaka mitatu na nikahama.. naweza nikakupa techniques nlizotumia wakanikubalia kuchomoka

kukichafua? Sijaelewa hapo !!
 
Back
Top Bottom