Nimechoka mwili na roho mwalimu miye loh!!!

Nimechoka mwili na roho mwalimu miye loh!!!

My dear Munkari we twende kufundisha bana achana na hayo maneno hata kwenye kanga yapo
 
Last edited by a moderator:
nani alikwambia usome ualimu???si njaa zako mwenyewe na utashi wako ukaamua kusoma ualimu???wenzio wamesoma sheria,accounts,PSPA,project management nk wanakula tu cace ya nchi!!!UALIMU NI KAZI YA LAANA,hata YESU alikuwa mwalimu wakamsulubu,
JK Nyerere alikuwa mwalimu ona familia yake,watoto wake wni njaa tu,numba yenyewe alijengewa na suma JKT!!!cha mcing nakushauri rudi mjini piga mishe nyingine,pia bora mwalimu wa mjini kuliko mwl wa kijijini!!!mjini opportunity nyingi........++++++++ ha ha ha !wacha ncheke kwanza eti tembele mwaka mzima khaaaa ! Jamaa unadharau wewe !!!!
 
Pole sana mrembo, kwa kuwa serikali yetu ni sikivu tutajitahidi kutengeneza miundombinu ya kuishi vizuri ili kupunguza uwezekano wa kubakwa na kubaka kwa walimu wa kiume waliopelekwa shule za mabinti!

sawa Horseshoe Arch
 
Last edited by a moderator:
Sikuelewei Munkari
Hivi wakati ukisomea ualimu ulitegemea ufanye kazi wapi?
Ualimu hauna mazingira kwani ni mtu wa kueleimsha taifa
Kituo chake ni popote.
Unaogopa kut@mbwa na mwanaume asiye wa elimu yako?
Vumilia au acha kazi

Bazazi tangu darasa la saba alikuwa akiweka X katika nafasi ya ualimu
Wewe ukafikiria kazi tu bila kujali mazingira
Bazazi anafani inayomfanya asiishi nje ya makao makuu ya wilaya

haya Bazazi upo juu !!!!!
 
Last edited by a moderator:
Watu humu wanaleta kashfa wakati hata uhakika wa kuoata laki kwa mwezi ni shida

achana nao !!!kuna watu ndo nature yao ukibishana nao unapoteza maji mwilini loh!
 
Vipi umeyazoea mazingira?
nitumie hata ya vocha kwenye hiyo hela ya siku saba.
 
Watu humu wanaleta kashfa wakati hata uhakika wa kuoata laki kwa mwezi ni shida

Sikiliza Mbwiga
Bazazi kaenda shule
Bazazi hafanyikazi ya kuajiriwa
Bazazi kipato chake kinamtosha

Bazazi amesoma wakati darasa 7 wanajiunga na vyuo vya ualimu
Bazazi kasoma enzi ya Half Combination (Maalum kwa waalimu)
Bazazi kafanya vurugu vyuo vikuu
Bazazi sio mwalimu sababu alijua mazingira ya kazi ni magumu
Bazazi anajua kuwa ukisomea ualimu ujuue vijijini ni kwako

La mwisho Bazazi ana uhakika na maisha yake

Ndimi Bazazi!
 
Vipi umeyazoea mazingira?
nitumie hata ya vocha kwenye hiyo hela ya siku saba.

ha ha ha umenchekesha sana! Unataka vocha ya shngap? Sijatumia hata buku !
 
Back
Top Bottom