Nimechoka na Mahusiano Yangu. Naomba ushauri

Kwa hilo naunga mkono hoja mkuu
 
You deserve that name, "poor brain"
 
Majukwaa ambayo huwa sijachangii n Yale ya Israel, siasa na mpira, maswala ya dini pia
muhimu na jambo ya maana zaidi ni kuongeza uelewa na ufahamu juu ya masuala hayo, kuchangia au kutokuchangia ni jambo la ziada tu gentleman ๐Ÿ’
 
Ngoja hako katoto kakue vizuri kesi ya ubakaji itakuhusu.Usilete vurugu jombi, sepa kimya kimya.Wewe ni kijana mkomavu tumia akili yako vizuri mapenzi hayashawishiwi kwa hela na mwanamke asiyekupenda atakudai hela na kulalamika kuhusu hela kila wakati.
 
Onaongea nae English ukiwa umelewa au upo soba.?

Naona huu muandiko umepiga vyombo kabisa.
 
utazeeka mapema, miaka 25 kilichokupeleka kwa Singo maza wa miaka 32 ni nini? halafu unamhudumia wewe kah! bora kama ungekuwa unalelewa, achana na hiyo Singo maza haraka tafuta wa size yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ