ng'ana nkamba
Member
- Jun 20, 2013
- 55
- 19
Natafuta rafiki wa kiume mwenye umri kuanzia miaka 36, hadi 45, mwanamume aliye mseja atafaa zaidi au mjane, awe msomi mwenye kazi yoyote yenye kipato cha halali, awe anaishi dar, mie ni mkazi wa dar . Aliye tayali awasiliane na mie kwa sasa nipo nasoma chuo, ni mfupi, mnene kiasi, na maji ya kunde. Sipendi mtu asiyejitambua., na mbabaishaji.