Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Fika Kanisani Tuabudu Pamoja Ikikupendeza Utoe Hiyo Laki Tano TukuombeeNdio mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fika Kanisani Tuabudu Pamoja Ikikupendeza Utoe Hiyo Laki Tano TukuombeeNdio mkuu
Nunua gari wapite watu kwa kukaa.Japokuwa wanasema usifanye kitu kwa kuiga au kuhisi watu watakuonaje ila inafika point unaamua ufanye tu ili upate amani. Mimi ni kijana naishi Dar mshahara wangu ni kipato cha kati tu.
Ssasa hapa ninapoishi vijana wenzangu wote wana magari kasoro mimi sasa naona kama najifeel inferior sana, niliwahi omba ushauri humu JF wengi walinishauri nisinunue gari kwa kufuata mkumbo ila sasa naona uzalendo umenifika hapa.
Nimepanga kununua gari nina akiba yangu ya 4M bank na ninaenda kukopa 3.5M naenda kununua ist. Kwa mliokwisha kuwa na magari ya mikopo staili hii ni changamoto gani ninaweza kukumbana nazo na je utakuwa uamuzi sahihi?
Kama unafeel inferior, kuna options hizi;Japokuwa wanasema usifanye kitu kwa kuiga au kuhisi watu watakuonaje ila inafika point unaamua ufanye tu ili upate amani. Mimi ni kijana naishi Dar mshahara wangu ni kipato cha kati tu.
Ssasa hapa ninapoishi vijana wenzangu wote wana magari kasoro mimi sasa naona kama najifeel inferior sana, niliwahi omba ushauri humu JF wengi walinishauri nisinunue gari kwa kufuata mkumbo ila sasa naona uzalendo umenifika hapa.
Nimepanga kununua gari nina akiba yangu ya 4M bank na ninaenda kukopa 3.5M naenda kununua ist. Kwa mliokwisha kuwa na magari ya mikopo staili hii ni changamoto gani ninaweza kukumbana nazo na je utakuwa uamuzi sahihi?
Waleko msalam, hiyo paragraph ya mwisho nimeielewa zaidi 😃😃Trust me. Kwa DSM usipokuwa na gari status yako ni ndogo sana. Fedheha ya kuwa na deni ni ndogo sana ukilinganisha na kuwa na gari. Nilienda kwene kikao cha harusi wote walikuja na magari kasoro mimi na ninavuja jasho balaa. Nilikaa kwa unyonge sana siku hiyo.
Nilivotoka nikasema sasa sisikilizi mtu nilivoamka nikawahi bank nikakutana na dada wa mikopo nikamwambia nataka kukopa mil. 20 nikapewa mkopo within 2 weeks. Nikadaka ndinga. Guess what? Hio milioni ishirini niliipata baada ya miezi mi4. Niliitwa somewhere kuna dili la maana nikatinga na ndinga yangu suti ya maana nikasaini mkataba fasta. Maisha yakaendelea.
Acha kusikiliza watu humu hatujuani. Hata mimi niliyoyaandika usiyape kipaumbele sana utaumia.
Asalamaleko
[emoji3][emoji3]I.s.t ya milionin 7.5 kuna uwezekano phone book yako kujaa namba za mafundi
Aiseee ngojaI.s.t ya milionin 7.5 kuna uwezekano phone book yako kujaa namba za mafundi
Inategemea na gari, gari sio laini kama yai ni chuma ileI.s.t ya milionin 7.5 kuna uwezekano phone book yako kujaa namba za mafundi
Wee nunua gari bwana lah sivyo utelezi hutapata kijana. Bongo daresalama bila usafiri pisi kali utaishia wapigia nyeto tuuJapokuwa wanasema usifanye kitu kwa kuiga au kuhisi watu watakuonaje ila inafika point unaamua ufanye tu ili upate amani. Mimi ni kijana naishi Dar mshahara wangu ni kipato cha kati tu.
Ssasa hapa ninapoishi vijana wenzangu wote wana magari kasoro mimi sasa naona kama najifeel inferior sana, niliwahi omba ushauri humu JF wengi walinishauri nisinunue gari kwa kufuata mkumbo ila sasa naona uzalendo umenifika hapa.
Nimepanga kununua gari nina akiba yangu ya 4M bank na ninaenda kukopa 3.5M naenda kununua ist. Kwa mliokwisha kuwa na magari ya mikopo staili hii ni changamoto gani ninaweza kukumbana nazo na je utakuwa uamuzi sahihi?
Hakuna IST ya 7.5m nzima ndugu.. unaenda nunua matatzo... Utakuwa mteja wa fundi kila siku..Japokuwa wanasema usifanye kitu kwa kuiga au kuhisi watu watakuonaje ila inafika point unaamua ufanye tu ili upate amani. Mimi ni kijana naishi Dar mshahara wangu ni kipato cha kati tu.
Ssasa hapa ninapoishi vijana wenzangu wote wana magari kasoro mimi sasa naona kama najifeel inferior sana, niliwahi omba ushauri humu JF wengi walinishauri nisinunue gari kwa kufuata mkumbo ila sasa naona uzalendo umenifika hapa.
Nimepanga kununua gari nina akiba yangu ya 4M bank na ninaenda kukopa 3.5M naenda kununua ist. Kwa mliokwisha kuwa na magari ya mikopo staili hii ni changamoto gani ninaweza kukumbana nazo na je utakuwa uamuzi sahihi?
We hupaswi kupewa ushaurJapokuwa wanasema usifanye kitu kwa kuiga au kuhisi watu watakuonaje ila inafika point unaamua ufanye tu ili upate amani. Mimi ni kijana naishi Dar mshahara wangu ni kipato cha kati tu.
Ssasa hapa ninapoishi vijana wenzangu wote wana magari kasoro mimi sasa naona kama najifeel inferior sana, niliwahi omba ushauri humu JF wengi walinishauri nisinunue gari kwa kufuata mkumbo ila sasa naona uzalendo umenifika hapa.
Nimepanga kununua gari nina akiba yangu ya 4M bank na ninaenda kukopa 3.5M naenda kununua ist. Kwa mliokwisha kuwa na magari ya mikopo staili hii ni changamoto gani ninaweza kukumbana nazo na je utakuwa uamuzi sahihi?