Nimechoka, naenda kununua gari

Nimechoka, naenda kununua gari

Japokuwa wanasema usifanye kitu kwa kuiga au kuhisi watu watakuonaje ila inafika point unaamua ufanye tu ili upate amani. Mimi ni kijana naishi Dar mshahara wangu ni kipato cha kati tu.

Ssasa hapa ninapoishi vijana wenzangu wote wana magari kasoro mimi sasa naona kama najifeel inferior sana, niliwahi omba ushauri humu JF wengi walinishauri nisinunue gari kwa kufuata mkumbo ila sasa naona uzalendo umenifika hapa.

Nimepanga kununua gari nina akiba yangu ya 4M bank na ninaenda kukopa 3.5M naenda kununua ist. Kwa mliokwisha kuwa na magari ya mikopo staili hii ni changamoto gani ninaweza kukumbana nazo na je utakuwa uamuzi sahihi?
Nunua gari wapite watu kwa kukaa.
 
Japokuwa wanasema usifanye kitu kwa kuiga au kuhisi watu watakuonaje ila inafika point unaamua ufanye tu ili upate amani. Mimi ni kijana naishi Dar mshahara wangu ni kipato cha kati tu.

Ssasa hapa ninapoishi vijana wenzangu wote wana magari kasoro mimi sasa naona kama najifeel inferior sana, niliwahi omba ushauri humu JF wengi walinishauri nisinunue gari kwa kufuata mkumbo ila sasa naona uzalendo umenifika hapa.

Nimepanga kununua gari nina akiba yangu ya 4M bank na ninaenda kukopa 3.5M naenda kununua ist. Kwa mliokwisha kuwa na magari ya mikopo staili hii ni changamoto gani ninaweza kukumbana nazo na je utakuwa uamuzi sahihi?
Kama unafeel inferior, kuna options hizi;
1. Hama mtaa unaoishi nenda ambako inferiority complex yako itaisha
2. Unusual gari kama unavyowaza lakini, ujue kuwa siku utakayoishiwa hata hela ya mafuta utafeel inferior tena. Hebu waza, umekatikiwa mafuta barabara, ile unahangaika na dumu mmoja wa wale marafiki wanakuona na dumu..!!!

UJUWE KUWA INFERIORIY COMPLEX HAITIBIWI KWA KUKAMILISHA KILE UNACHOKIONA KINAKUPA HALI HIYO PEKEE.. UKIKAMILISHA HICHO, NDANI YA NKAMILISHO HUO KUTAZALIWA KINGINE KITAKACHOKURUDISHA KWENYE INFERIORITY COMPLEX ULIYOIKIMBIA.
 
Trust me. Kwa DSM usipokuwa na gari status yako ni ndogo sana. Fedheha ya kuwa na deni ni ndogo sana ukilinganisha na kuwa na gari. Nilienda kwene kikao cha harusi wote walikuja na magari kasoro mimi na ninavuja jasho balaa. Nilikaa kwa unyonge sana siku hiyo.

Nilivotoka nikasema sasa sisikilizi mtu nilivoamka nikawahi bank nikakutana na dada wa mikopo nikamwambia nataka kukopa mil. 20 nikapewa mkopo within 2 weeks. Nikadaka ndinga. Guess what? Hio milioni ishirini niliipata baada ya miezi mi4. Niliitwa somewhere kuna dili la maana nikatinga na ndinga yangu suti ya maana nikasaini mkataba fasta. Maisha yakaendelea.

Acha kusikiliza watu humu hatujuani. Hata mimi niliyoyaandika usiyape kipaumbele sana utaumia.

Asalamaleko
Waleko msalam, hiyo paragraph ya mwisho nimeielewa zaidi 😃😃
 
Japokuwa wanasema usifanye kitu kwa kuiga au kuhisi watu watakuonaje ila inafika point unaamua ufanye tu ili upate amani. Mimi ni kijana naishi Dar mshahara wangu ni kipato cha kati tu.

Ssasa hapa ninapoishi vijana wenzangu wote wana magari kasoro mimi sasa naona kama najifeel inferior sana, niliwahi omba ushauri humu JF wengi walinishauri nisinunue gari kwa kufuata mkumbo ila sasa naona uzalendo umenifika hapa.

Nimepanga kununua gari nina akiba yangu ya 4M bank na ninaenda kukopa 3.5M naenda kununua ist. Kwa mliokwisha kuwa na magari ya mikopo staili hii ni changamoto gani ninaweza kukumbana nazo na je utakuwa uamuzi sahihi?
Wee nunua gari bwana lah sivyo utelezi hutapata kijana. Bongo daresalama bila usafiri pisi kali utaishia wapigia nyeto tuu
 
Pesa yako na unaitafuta mwenyewe we tumia ambapo roho inapenda, ila subaru ni nzuri ila ni gharama kuitunza.

Nasema vuta chuma, vuta ndinga hata used in bongo.
 
Japokuwa wanasema usifanye kitu kwa kuiga au kuhisi watu watakuonaje ila inafika point unaamua ufanye tu ili upate amani. Mimi ni kijana naishi Dar mshahara wangu ni kipato cha kati tu.

Ssasa hapa ninapoishi vijana wenzangu wote wana magari kasoro mimi sasa naona kama najifeel inferior sana, niliwahi omba ushauri humu JF wengi walinishauri nisinunue gari kwa kufuata mkumbo ila sasa naona uzalendo umenifika hapa.

Nimepanga kununua gari nina akiba yangu ya 4M bank na ninaenda kukopa 3.5M naenda kununua ist. Kwa mliokwisha kuwa na magari ya mikopo staili hii ni changamoto gani ninaweza kukumbana nazo na je utakuwa uamuzi sahihi?
Hakuna IST ya 7.5m nzima ndugu.. unaenda nunua matatzo... Utakuwa mteja wa fundi kila siku..

Ni bora ukanunua gari ndogo ya brand nyingne kwa hela hiyo lakini mpya..

Zipo swift, fun cargo.. vi nissan kibao..

Hiyo gari ya mkononi utajuta
 
Ukweli kwa DSM gari si anasa. Gari ni kitu muhimu kwenye kuanzia maisha. Nunua Gari ambayo ni economy ila isiwe chakavu kwani Gari ya kwanza ikiwa chakavu itakufilisi. Hii ni kwa sababu hautakubali kupak utakuwa unapambana kwa namna yoyote kuhakikisha ipo barabarani.

Kuna adha kubwa sana utapata kama huna usafiri ikiwemo swala la matumizi ya muda. Ukiwa na gari kila unapotaka kwenda utafika kwa wakati tofauti na anaetumia daladala.

Hata kama utaamua kuanza na kujenga utakutana na changamoto kubwa katika usimamizi kwani ukiwa na gari unaweza chomoka kazini faster ukafika site na ukarudi kazini. Hata pale utakapokuwa unatakiwa kusafirisha vitu vidogo vidogo kupeleka site.

Changamoto nyingine ukiwa na familia kama huna usafiri unaoeleweka utajuta na gharama za kukodi magari zinakuwa kubwa sana kwani kuna watoto hospitali, mke clinic na ufuatiliaji wa mambo mengine.


Mwisho, mimi ni mmoja ambao niliwahi kuwa na fikra kama zako. Lakini kutokana na changamoto mbalimbali niliamua kujilipua nikakopa. Tena sikuwa na hata ya kuongezea kama wewe. Nusu nilinunua eneo na nyingine nikanunua IST.

Sijawahi juta kwani ilinisaidia sana na iliniwezesha kufanya kazi zaidi ya moja na kuweza kuendeleza kiwanja kuwa makazi.

Gharama za usafiri zilipungua huku nikiwa na privacy kwenye mambo yangu ya kifamilia.

Gari linanunuliwa siku moja. Nyumba inajengwa Miaka kadhaa kama unakipato cha kawaida.

Huu ni ushauri waweza amua vinginevyo
 
Japokuwa wanasema usifanye kitu kwa kuiga au kuhisi watu watakuonaje ila inafika point unaamua ufanye tu ili upate amani. Mimi ni kijana naishi Dar mshahara wangu ni kipato cha kati tu.

Ssasa hapa ninapoishi vijana wenzangu wote wana magari kasoro mimi sasa naona kama najifeel inferior sana, niliwahi omba ushauri humu JF wengi walinishauri nisinunue gari kwa kufuata mkumbo ila sasa naona uzalendo umenifika hapa.

Nimepanga kununua gari nina akiba yangu ya 4M bank na ninaenda kukopa 3.5M naenda kununua ist. Kwa mliokwisha kuwa na magari ya mikopo staili hii ni changamoto gani ninaweza kukumbana nazo na je utakuwa uamuzi sahihi?
We hupaswi kupewa ushaur

Umeshasema ulikuja humu jukwaani ukaomba ushauri watu wakakwambia kabisa kuwa usinunue gari.

Matokeo yake we mwenyewe leo hii umerudi jukwaani na kusema umechoka lazima ukanunue gari tafsir yake ni lwamba umeshapingana na ushauri uliopewa.

Sasa hata leo watu wakikushauri si utapingana nao tena?

sasa wakupe ushauri wa nini
 
HizoView attachment 2235225View attachment 2235226
Screenshot_20220523-103306_1653291491291.jpg
View attachment 2235227
 
Back
Top Bottom