Nimechoka, natafuta mume serious

Tatizo ulianza mapenzi kabla ya miaka 18. Yawezekana huyo uliyekuwa naye kwa wiki moja kaona udhaifu wa maumbile yako. Kama sio uke basi maziwa yamelala.

Post fulani pia inaonesha Umedanganya umri wakati unatafuta kazi. Anyway, mimi sifa unazotaka ninazo zote ila nakula tungi balaa. Kama unaweza pm ipo wazi.
 
Usiandike kwa kuropoka ,jifikilie kile unachozungumza ,na usipoelewa Ni vyema ukauliza boss ,ukupukaji sio mzuri ,ningetamani kukupa elimu juu ya Jambo fulani ,lakini kwa akili yako naona Ni chenga tuu Unaweza jibu hata upuuzi
 
Utapata
 
Exactly
 
Duuh.pole dada. Lakini ujue, subra ni chungu lakini matunda yake ni matamu.vijana wengi tumeshindwa kuwa na subra sababu ya uchungu wake. Siku zote mtu mwenye ustahimilivu wa moyo hula mbivu. Mimi pia napitia wakati uo huo upitiao ww. Kuna makosa tunayafanya binadamu pale tunapokutana na magumu/changamoto kama hizi,tunakuwa wepesi wa kuchukua maamuzi kwa ajiri ya kupoza machungu wakati bado tupo kwenye maombolezo, na matokeo yake tunazudi kuharibu kwa sababu ya kukosa ustahimilivu wa moyo. Kuwa na subra,acha yapite then tafakar ulikosea wap sahihisha makosa muombe MUNGU atasikia maombi yako. Binafsi kwa janga langu nilitafakari, nikataka kupata mtu mwingine ili anisahaulishe machungu, lakini nilisita baada ya kukosa majibu kwa maswali niliyojiuliza mwenyewe.
1. Je? Ndyo njia sahihi ya kupunguza mawazo?
2. Huyu ntayempata saiv (within a short time) ndyo atakuwa sahihi kwangu?
Dada jipe muda wa kutafakari yaliyotokea,yatumie kama daraja kumpata aliye sahihi kwako, na utapompata mfanye aamini kuwa ana bahati kuliko wanaume wote duniani kwa kukupata mwanamke kama wewe.

Mi apa nakula buyu tyu sina stress, taratiibu namsahau. Nami masharti ya nimtakaye ni magumu kidogo.
 
Ni kweli dear
 
Unae mtukana nani Sasa, em fikiria kabla haujajibu sms ,
Wahenga hupenda kusema."ukiomba mvua jiandae kwa matope pia" na ukitaka kufanya biashara ya utumbo usiogope nzi. Vumilia tyu ndani ya kejeri na matukano kuna points nzuri utapata. Ukipata muda soma pia kitabu cha waamuzi 14:5-9.
Fungu la nane linasomeka ivi.
"Kisha badae akarudi ili kumtwaa,nae akageuka kando kuangalia mzoga wa huyo simba;na tazama, nyuki wengi walikuwamo ndani ya mzoga wa huyo simba, na asali".
Fungu la tisa.
"Akatwaa asali mkononi mwake akaenda mbele, huku akila alipokuwa akienenda,akawafikilia babaye na mamaye,akawapa nao wakala,lakini hakuwaambia ya kuwa ameitwaa hiyo asali katika mzoga wa simba.
 
mwanaume/mwanamke wa kuishi nae huwa hatafutwi amekubwaga fresh fanya mambo yako jikite kwenye kufanya mambo yako ya maendeleo yakimaisha epuka kuwa daraja la mwingine la mafanikio kwenye maisha yako
 
Dada usisumbue akili yako mambo mazuri katika mahusiano huja bila plan, so wew tulia kaa na amani mwanaume alie serious akikuona atakufata mwenyewe kwa post hii itakuletea wahuni tu na watakuingia vizuri bila kujua Coz detail zako zote umeshazitoa hapa so I NEED YOU TO TAKE IT EASY JUST CHILL..
 
Tuma namba yako na picha yako halisi Pm tafadhali !
Note :
Picha iwe atlist 1080 pexel x 720 pexel minimum

Picha isiwe edited, retouched with any photo editing software ,
Imafe isiwe na watu zaidi ya wawili!

No filters please!

Namba yako ya simu iwe na country code kama upo nje ya tz,

Failure to follow instructions your Pm sms will not be replied and your request will be denied!
Karibu !
 
Kudharirishana huko, hujiulizi why sijaweka jina langu?
Siwezi fanya unachotaka, mwenye busara anazama pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…