Nimechoka, natafuta mume serious

Failure to follow instructions your Pm sms will not be replied and your request will be denied!
Karibu ![/QUOTE]


Earth is hard[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Failure to follow instructions your Pm sms will not be replied and your request will be denied!
Karibu !


Earth is hard[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][/QUOTE]Usinichoshe na hili joto[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Miaka 23 umeshakua kwenye mahusiano for 5yrs!

Miaka 23 tayari mahusiano yanakupa stress na sasa unatafuta mme mitandaoni.

Miaka 23 bado binti mbichi sana kuumwa kichwa kwa ajili ya mahusiano.

Utapata mme umechoka sana. Good luck
 
Zunguka kwenye maofisi ya serikali utawakuta watumishi wa umma.

Au nenda kakeshe kwenye mbio ZA mwenge
 
Ukiachwa kaa tulia, maumivu yaishe. Nasema kaa tulia bado mdogo. Nasema kaa tulia *3 Usiposikia utaendelea kuumizwa

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 

Umeanza mahusiano na miaka 18, na sasa 23, wewe bado mdogo, tulia, kuwa mpole, fanya biashara, wakati wako unakuja.
 
Nina miaka 61 ni mtumishi wa Umma. Niliumizwa kwa mahusiano kwa kweli nika ghairi kabisa lkn kwa bandiko lako unaweza kuja PM .
Pole mhanga mwenzangu.
Nasema pole najua unavyoumia kwa kudabganywa
 
Habari zenu wana jf, Mimi yule dada niliyepost kuwa natafuta Mume.

Kwanza naomba nibadili imani za baadhi ya watu ,maana wengi wao wamenipondea kwa kusema kuwa siwez pata aliye sahihi maana wengi ni janua janja.

Ipo hivi, hii ni njia tuu niliyotumia ambayo inaweza tumiwa na mtu yoyote yule ,kwa sababu Wana jf ndy watu hao hao unapishana nao barabarani na sehemu yoyote ile , hivyo kuna waongo , wakweli, matapeli, wachamungu, majambazi, wamalaya, wenye nia ya kweli kwa kutafuta mwenzi, wanaonipima imani, wachawi n.k , yote haya nafahamu.

Pia hakuna mtu hata mmoja nilie muendea nikaanza kumshawishi kwa kumwambia kuwa Mimi nakutaka au nmekupenda ,bali Ni wao baada ya kuona nilichosema , inshot pm kwangu kumechafuka mno , maana natafutwa .

Katika msafara wa Mamba na kenge wamo, naelewa ,najitambua, kufanya hivyo sio kwamba mim n Malaya au nimekosa maadili no msinidefine hivyo guys, pia kila mtu ana machaguzi yake , naweza pata 200 ila alie serious Ni mmoja , .
 
Aidha huo ni wakati wa kuonja madushe mbalimbali ili ukiolewa utulie. Muhimu USIZAE maana single mother, mh!!!!!
Yaani unamshauri aendelee kuwa mzinzi!, Na je vipi kuhusiana na maladhi, mikosi na mibalaa itokanayo na uzinzi?
 
🤔🧐🙄
 
Mama njoo tuyajenge, nina bajaji zangu 5 zinapiga kazi hapa dodoma, kwa mwezi ni zaidi ya mtumishi wa umma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…