Nimechoka, natafuta mume serious

Hiki ndicho kinazidi kuwauwa wanawake, hivi mume unaweka vigezo kama unaagiza balo la mtumba dubai, ukikosa wa namna hiyo utadhani dunia imekutenga, kumbe wewe mwenyewe umehitenga na dunia. Mume hatafutwi, mume utakutana naye tu
 
Haya mama mimi ndiye jibu la moyo wako kalbu Sana imbox
 
Ukiwa na mahusiano na mwanamke ambae hujamkuta bikra ndani ya moyo Kuna kasauti kanakwambia "lakin hukumkuta bikra tayari alishakua na mpenzi aliependana nae kabla yako"

Hiyo sauti ikishaanza kumuongelesha mwanaume ujue hata kama maandalizi ya sherehe yalisha fanyika hiyo harusi haitafungika anaweza asitokee hata kanisani
Wanawake jitunzeni ijueni thamani yanu siyo kila mtu awatumietumie tu japo na mimi nazichakata ila nipo kwenye harakat ya utafutaji bikra nimuowe.
 
Nina sifa zote isopokuwa moja tu, mm sio mtumishi wa umma
 
Ngoja ninunue bundle, nije PM tubonge!!

Trust me, nitakusahaulisha huyo Mtesi wa Pisi Changa!! Sema dah, sijui ndo nianze kutuma applications utumishi, au nizame tu hivyo hivyo!


maskini binti wa watu.
 
Kwa hii mbinu nakuhakikishia haruki
 
Akili kubwa,maelezo yake yamepambanua tatizo lilipo.
 
Miaka mitano kwenye mahusiano k itakuwa imetembea mileage kubwa sana sasa bado tena unaweka vigezo lukuki.

Watu wanapenda k ambayo ni zero mileage ama yenye mileage ndogo.
 
Ushauri wangu kwako....

Kama utaendelea na unachohisi ni sahihi angali si sahihi zinazoumia ni sehemu zako za siri na utaja jutia siku moja.....

Kwa umri nilio nao nasikitika mno nionapo msichana age 25 anahangaika kuitaka ndoa kwa lazima

Umri wako wa 23 bado mdogo mno, hivyo wanaume sisi kwenye umri wako huingia tamaa tu kwasababu umri huo wanawake au wasichana huwa na maumbo yanayo wavutia wanaume kutaka kujua kilichopo katikati ya mapaja yako kinafananaje.....

Jipe muda tulia, fanya yanayo kuhusu, tafuta hela, jijenge kiakili kielimu na Kwa vyovyote vile na iaminishe nafsi yako kuwa kuna mwanaume yupo na amepangwa kwaajili yako.....


[emoji2398]

Balvejmumt
 
Binti wa miaka 23, alikua kwenye serious relationship ya miaka 5.

23-5=18
 
Kama ulicho kiandika ni kweli na Kama haujampata niruhusu ni ku mp, hata kama hatokuwa mimi basi nitakupa ushauri namna ya kuondoka kwenye dimbwi hilo la mawazo na utasimama tena, maana kushindana kwetu si katika damu na nyama bali ni katika roho mtakatifu.
 
Eti mtumishi wa, umma wewe ata utumishi wa kijiko unao....?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…