Aisee pole sana mkuu,ndo maisha kakaNiliwahi kuwa na familia yenye Hofu ya Mungu, amani, Baraka na furaha tele kwa Miaka nane Mkuu, Usingeamini kama ningefika Huku... Only God knows shetan alichofanya..
Never Brother.... Mungu anaweza kumbadilisha Mtu mpaka ukashangaa... Miaka kumi na nane Bila Pombe Sigara na Bangi Siyo mchezo... Na situmii nguvu kuishinda tamaaa... Ni Mungu MwenyeweJasiri aachi asili hutumii bangi ila siku ukikutana nayo lazima upige.Kuwa mkweli
Kifupi niliishi kwenye Ndoa Tamu Sana mpaka majirani walifurahia.. but ndugu muogope ibilisi shetani alichokifanya... Only God knowsUmeandika vzuri sana kk....all the best kwenye hili swala. Lkn,nna swal moja tu, what happened kwa wamama wa hao watoto??
Hizi Ni nyakati za mchaka mchaka... Kupambana kufidia magepu... Kumtafuta Mungu kwa Bidii Maana Dunia ishaoza... Unene utatoka Wapi???Daah mie mwembamba lkn huwa nanenepa fasta tu nikiridhika
Asante Mkuu... Kikubwa Ashukuriwe Mungu Tupo hai nafasi Bado ipo...
Komaaa nae tu mzee,atakuelewaEven though I still welcome you,joking doesnt matter
Atakupa stress ubaki mfuko wa mifupaDaah mie mwembamba lkn huwa nanenepa fasta tu nikiridhika
Mkuu ulikopa kujenga ghorofa, kufungua kampuni au msomo?16m?? Ndogo sana hio...watu tina deni la 25M [emoji2] afu tuko fresh tu kitaa
No, hilo swali hakuulizwa madhabahuni ni ktk hali ya melezo kwa waolewaji.....Ko,jamaa alidanganya mbele ya madhabahu mara 2??
the guy has set the bar below unaweza kumtunuku pia sio issue.Nimependa tu vile uko mkweli, unluckily sina sifa hata moja hapo, walaqhi' ningekukujia.!
😀😀 dushe lenyewe sasa kiduchuu🏃♀️Upo kama mimi mkuu!Nina miaka 55 na vitu pekee ninavyomiliki ni ndevu pamoja na dushe.
Ahsante kuchangia, japo mchango wako unakinzana na jina lako..the guy has set the bar below unaweza kumtunuku pia sio issue.
jina tu usiogope, kichwani hakuna kitu.Ahsante kuchangia, japo mchango wako unakinzana na jina lako..
Nimependa tu vile uko mkweli, unluckily sina sifa hata moja hapo, walaqhi' ningekukujia.!
Ila kwa hili Mimi Ni mkweli Sina chochote zaidi ya ubongo unaofanya kazi....
Nadhani ukisoma kwa makini utaelewa sijaficha kitu ndivyo nilivyo...Mkuu hizo SINA ni za john sina au sina yaani huna kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]