David Ben Gurion
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 868
- 1,384
- Thread starter
- #21
AsantePole boss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsantePole boss
Umenikumbusha mbali....kuna jamaa mmoja alitaka kuoa kanisani akapoint binti ila katika maelezo jamaa akasema hana kazi, hana nyumba yule binti akachomoa....kumbe bwana jamaa alikuwa ana nyumba nzuri na kazi ya permanent....alivyochomoa yule jamaaa mwaka uliofuata akaoa mtu mwingine pale pale kanisani kwa trick ileile yule wapili akakubali kumbe jamaaa ni tofauti na alivyokuwa anasema....Umri: 40
Elimu: Diploma
Uzito : 84kg
Urefu: 1.7m
Kazi: Sina
Hela: Sina
Nyumba: Sina
Watoto: Watatu Ke1, Me2
Mke: Sina
Ujuzi: Umeme, useremala, na ufundi vyuma.
Madeni: Milion 2.4
Mengineyo... Situmii pombe, sigara Wala bangi... Nilishawahi Kutumia Miaka 18 iliyopita. Napenda kujishughulisha kazi za mikono za ujuzi... Kujisomea vitabu... Nina ndoto kubwa Sana Lakini sijaweza kuzitekeleza... Ukija tutasaidiana jinsi ya kuanza na Kufanikisha ndoto zetu.
Kuhusu Mapenzi Nina wivu Sana sipendi umalaya.. Mwanamke nayemuhitaji awe Mjane au aliyezaa angalau watoto wawili..Apende kujishughulisha.. Umri wake aanzie 32-43 awe mwembamba asiwe mnene tafadhali... Dini Awe Mkristo.. Mengine tutakamilishana
Ukipendezwa nami karibu PM au gddtechnicians@gmail.com. Blessed
Pole ya nini?Pole boss
Ila kwa hili Mimi Ni mkweli Sina chochote zaidi ya ubongo unaofanya kazi....Umenikumbusha mbali....kuna jamaa mmoja alitaka kuoa kanisani akapoint binti ila katika maelezo jamaa akasema hana kazi, hana nyumba yule binti akachomoa....kumbe bwana jamaa alikuwa ana nyumba nzuri na kazi ya permanent....alivyochomoa yule jamaaa mwaka uliofuata akaoa mtu mwingine pale pale kanisani kwa trick ileile yule wapili akakubali kumbe jamaaa ni tofauti na alivyokuwa anasema....
Dah kwa kweli Mnene simuwezi madeni tungechanganya ingekua 3.6 maana yake kila siku tunalipa elfu 10 kwa mwaka tumemaliza... Basi tenaEhhh me bonge tatzo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maden 1.2 m
Ya madeniPole ya nini?
hahaaaaaa....Ya madeni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi tunatofautiana...me nikiwa na deni la laki moja tu basi ujue ndani hapalaliki aisee...hahaaaaaa....
Mbona ela ndogo hiyo watu tunadaiwa 16 Million na Loan Board na wala hatujali hahaaaaaa
Hahaaa...Laki tu....kwanza we JF inakudai replies....haiwezekani tangu 2017 post na replies hazifiki hata 50[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi tunatofautiana...me nikiwa na deni la laki moja tu basi ujue ndani hapalaliki aisee...
Hahahahaaa!! Ndo madeni yenyewe nnayoogopa sasa.Hahaaa...Laki tu....kwanza we JF inakudai replies....haiwezekani tangu 2017 post na replies hazifiki hata 50
Njoo kwangu my mimi sina masharti mengi.Nimependa tu vile uko mkweli, unluckily sina sifa hata moja hapo, walaqhi' ningekukujia.!
don't take it serious, was just joking..!!Njoo kwangu my mimi sina masharti mengi.
Nicheki pm
njoo kwangu my mimi napenda mwanamke bonge,nicheki pmEhhh me bonge tatzo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maden 1.2 m
Even though I still welcome you,joking doesnt matterdon't take it serious, was just joking..!!
Ko,jamaa alidanganya mbele ya madhabahu mara 2??Umenikumbusha mbali....kuna jamaa mmoja alitaka kuoa kanisani akapoint binti ila katika maelezo jamaa akasema hana kazi, hana nyumba yule binti akachomoa....kumbe bwana jamaa alikuwa ana nyumba nzuri na kazi ya permanent....alivyochomoa yule jamaaa mwaka uliofuata akaoa mtu mwingine pale pale kanisani kwa trick ileile yule wapili akakubali kumbe jamaaa ni tofauti na alivyokuwa anasema....
16m?? Ndogo sana hio...watu tina deni la 25M [emoji2] afu tuko fresh tu kitaahahaaaaaa....
Mbona ela ndogo hiyo watu tunadaiwa 16 Million na Loan Board na wala hatujali hahaaaaaa
Umeandika vzuri sana kk....all the best kwenye hili swala. Lkn,nna swal moja tu, what happened kwa wamama wa hao watoto??Umri: 40
Elimu: Diploma
Uzito : 84kg
Urefu: 1.7m
Kazi: Sina
Hela: Sina
Nyumba: Sina
Watoto: Watatu Ke1, Me2
Mke: Sina
Ujuzi: Umeme, useremala, na ufundi vyuma.
Madeni: Milion 2.4
Mengineyo... Situmii pombe, sigara Wala bangi... Nilishawahi Kutumia Miaka 18 iliyopita. Napenda kujishughulisha kazi za mikono za ujuzi... Kujisomea vitabu... Nina ndoto kubwa Sana Lakini sijaweza kuzitekeleza... Ukija tutasaidiana jinsi ya kuanza na Kufanikisha ndoto zetu.
Kuhusu Mapenzi Nina wivu Sana sipendi umalaya.. Mwanamke nayemuhitaji awe Mjane au aliyezaa angalau watoto wawili..Apende kujishughulisha.. Umri wake aanzie 32-43 awe mwembamba asiwe mnene tafadhali... Dini Awe Mkristo.. Mengine tutakamilishana
Ukipendezwa nami karibu PM au gddtechnicians@gmail.com. Blessed
Daah mie mwembamba lkn huwa nanenepa fasta tu nikiridhikaUmri: 40
Elimu: Diploma
Uzito : 84kg
Urefu: 1.7m
Kazi: Sina
Hela: Sina
Nyumba: Sina
Watoto: Watatu Ke1, Me2
Mke: Sina
Ujuzi: Umeme, useremala, na ufundi vyuma.
Madeni: Milion 2.4
Mengineyo... Situmii pombe, sigara Wala bangi... Nilishawahi Kutumia Miaka 18 iliyopita. Napenda kujishughulisha kazi za mikono za ujuzi... Kujisomea vitabu... Nina ndoto kubwa Sana Lakini sijaweza kuzitekeleza... Ukija tutasaidiana jinsi ya kuanza na Kufanikisha ndoto zetu.
Kuhusu Mapenzi Nina wivu Sana sipendi umalaya.. Mwanamke nayemuhitaji awe Mjane au aliyezaa angalau watoto wawili..Apende kujishughulisha.. Umri wake aanzie 32-43 awe mwembamba asiwe mnene tafadhali... Dini Awe Mkristo.. Mengine tutakamilishana
Ukipendezwa nami karibu PM au gddtechnicians@gmail.com. Blessed