Nimechoka Upweke...

Nimechoka Upweke...

Status
Not open for further replies.
Umri: 40
Elimu: Diploma
Uzito : 84kg
Urefu: 1.7m
Kazi: Sina
Hela: Sina
Nyumba: Sina
Watoto: Watatu Ke1, Me2
Mke: Sina
Ujuzi: Umeme, useremala, na ufundi vyuma.
Madeni: Milion 2.4
Mengineyo... Situmii pombe, sigara Wala bangi... Nilishawahi Kutumia Miaka 18 iliyopita. Napenda kujishughulisha kazi za mikono za ujuzi... Kujisomea vitabu... Nina ndoto kubwa Sana Lakini sijaweza kuzitekeleza... Ukija tutasaidiana jinsi ya kuanza na Kufanikisha ndoto zetu.
Kuhusu Mapenzi Nina wivu Sana sipendi umalaya.. Mwanamke nayemuhitaji awe Mjane au aliyezaa angalau watoto wawili..Apende kujishughulisha.. Umri wake aanzie 32-43 awe mwembamba asiwe mnene tafadhali... Dini Awe Mkristo.. Mengine tutakamilishana
Ukipendezwa nami karibu PM au gddtechnicians@gmail.com. Blessed
Umenikumbusha mbali....kuna jamaa mmoja alitaka kuoa kanisani akapoint binti ila katika maelezo jamaa akasema hana kazi, hana nyumba yule binti akachomoa....kumbe bwana jamaa alikuwa ana nyumba nzuri na kazi ya permanent....alivyochomoa yule jamaaa mwaka uliofuata akaoa mtu mwingine pale pale kanisani kwa trick ileile yule wapili akakubali kumbe jamaaa ni tofauti na alivyokuwa anasema....
 
Umenikumbusha mbali....kuna jamaa mmoja alitaka kuoa kanisani akapoint binti ila katika maelezo jamaa akasema hana kazi, hana nyumba yule binti akachomoa....kumbe bwana jamaa alikuwa ana nyumba nzuri na kazi ya permanent....alivyochomoa yule jamaaa mwaka uliofuata akaoa mtu mwingine pale pale kanisani kwa trick ileile yule wapili akakubali kumbe jamaaa ni tofauti na alivyokuwa anasema....
Ila kwa hili Mimi Ni mkweli Sina chochote zaidi ya ubongo unaofanya kazi....
 
Jasiri aachi asili hutumii bangi ila siku ukikutana nayo lazima upige.Kuwa mkweli
 
Umenikumbusha mbali....kuna jamaa mmoja alitaka kuoa kanisani akapoint binti ila katika maelezo jamaa akasema hana kazi, hana nyumba yule binti akachomoa....kumbe bwana jamaa alikuwa ana nyumba nzuri na kazi ya permanent....alivyochomoa yule jamaaa mwaka uliofuata akaoa mtu mwingine pale pale kanisani kwa trick ileile yule wapili akakubali kumbe jamaaa ni tofauti na alivyokuwa anasema....
Ko,jamaa alidanganya mbele ya madhabahu mara 2??
 
Umri: 40
Elimu: Diploma
Uzito : 84kg
Urefu: 1.7m
Kazi: Sina
Hela: Sina
Nyumba: Sina
Watoto: Watatu Ke1, Me2
Mke: Sina
Ujuzi: Umeme, useremala, na ufundi vyuma.
Madeni: Milion 2.4
Mengineyo... Situmii pombe, sigara Wala bangi... Nilishawahi Kutumia Miaka 18 iliyopita. Napenda kujishughulisha kazi za mikono za ujuzi... Kujisomea vitabu... Nina ndoto kubwa Sana Lakini sijaweza kuzitekeleza... Ukija tutasaidiana jinsi ya kuanza na Kufanikisha ndoto zetu.
Kuhusu Mapenzi Nina wivu Sana sipendi umalaya.. Mwanamke nayemuhitaji awe Mjane au aliyezaa angalau watoto wawili..Apende kujishughulisha.. Umri wake aanzie 32-43 awe mwembamba asiwe mnene tafadhali... Dini Awe Mkristo.. Mengine tutakamilishana
Ukipendezwa nami karibu PM au gddtechnicians@gmail.com. Blessed
Umeandika vzuri sana kk....all the best kwenye hili swala. Lkn,nna swal moja tu, what happened kwa wamama wa hao watoto??
 
Umri: 40
Elimu: Diploma
Uzito : 84kg
Urefu: 1.7m
Kazi: Sina
Hela: Sina
Nyumba: Sina
Watoto: Watatu Ke1, Me2
Mke: Sina
Ujuzi: Umeme, useremala, na ufundi vyuma.
Madeni: Milion 2.4
Mengineyo... Situmii pombe, sigara Wala bangi... Nilishawahi Kutumia Miaka 18 iliyopita. Napenda kujishughulisha kazi za mikono za ujuzi... Kujisomea vitabu... Nina ndoto kubwa Sana Lakini sijaweza kuzitekeleza... Ukija tutasaidiana jinsi ya kuanza na Kufanikisha ndoto zetu.
Kuhusu Mapenzi Nina wivu Sana sipendi umalaya.. Mwanamke nayemuhitaji awe Mjane au aliyezaa angalau watoto wawili..Apende kujishughulisha.. Umri wake aanzie 32-43 awe mwembamba asiwe mnene tafadhali... Dini Awe Mkristo.. Mengine tutakamilishana
Ukipendezwa nami karibu PM au gddtechnicians@gmail.com. Blessed
Daah mie mwembamba lkn huwa nanenepa fasta tu nikiridhika
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom