Nimechoka Upweke...

Nimechoka Upweke...

Status
Not open for further replies.
Huna kazi, huna hela, huna nyumba na una deni kubwa la 2.4M sasa hizo kilo 84 umezipataje??
Kwa hali uliyo nayo ilitakiwa uwe na kilo 50 kushuka chini!!
By the way kwa kilo hizo ulizo nazo (84kg) haziendani kabisa na urefu wako (1.7m) yaani unaonekana ni ki Lemutuz kingine mjini na sidhani Kama utakua na uwezo wa kumpiga mbupu na kumridhisha huyo unaemtafuta humu kwa ubonge nyanya huo.
Zaidi sana utacreate matatizo mengine tu Kama kuchapiwa nje ukufe kwa presha siku sio nyingi
Mkuu hapa nimepungua nilifikisha 94 kiasili Mimi Ni mwembama... Ila Huwezi amini naishi na Amani ya Kimungu ndani yangu ndiyo inaniwezesha kuishi... Sitaweza kukonda kwa Mawazo hata kidogo situation nimemwachia Mungu Mwenyewe... Shida zangu kwake Ni punje tuu
 
Huna kazi, huna hela, huna nyumba na una deni kubwa la 2.4M sasa hizo kilo 84 umezipataje??
Kwa hali uliyo nayo ilitakiwa uwe na kilo 50 kushuka chini!!
By the way kwa kilo hizo ulizo nazo (84kg) haziendani kabisa na urefu wako (1.7m) yaani unaonekana ni ki Lemutuz kingine mjini na sidhani Kama utakua na uwezo wa kumpiga mbupu na kumridhisha huyo unaemtafuta humu kwa ubonge nyanya huo.
Zaidi sana utacreate matatizo mengine tu Kama kuchapiwa nje ukufe kwa presha siku sio nyingi
Halafu Siyo mnene Kama unavyolinganisha... Ni mifupa tuu mizito... Kuhusu kuchapiwa Ni tabia ya Mtu hata uweje mtu atafanya anavyotaka... Haya Maisha Ni kumwachia Mungu atulinde kwa Hali tuliyofikia hata ufanyeje Bila nguvu na msaada wa Mungu hakuna tutakachoweza..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo kwa
Maden umetsha mkuu[emoji23]
Hili Deni dogo Sana Mkiwa na Nia Ni jepesi mno kunimaliza... Mungu akiwa upande wenu... Si umeona kwa mfano Huo tuu mwaka mmoja kwishney
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo kwa
Maden umetsha mkuu[emoji23]
Hili Deni dogo Sana Mkiwa na Nia Ni jepesi mno kunimaliza... Mungu akiwa upande wenu... Si umeona kwa mfano Huo tuu mwaka mmoja kwisney
 
Hili Deni dogo Sana Mkiwa na Nia Ni jepesi mno kunimaliza... Mungu akiwa upande wenu... Si umeona kwa mfano Huo tuu mwaka mmoja kwisney
Ehh kwa maaneno kwel linakuwa kwshney sasa kasheshe n practically[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo kwenye madeni tu ndipo panawatafakarisha warembo
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
hapo kwa
Maden umetsha mkuu[emo

Ehh kwa maaneno kwel linakuwa kwshney sasa kasheshe n practically[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikwambie Kitu Dada yangu... Hakuna kitu kigumu ukiwa na Nia ya dhati.. Hiyo fedha unaweza kuimaliza kuilipa hata ndani ya miezi mitatu... Kwenye maisha tunateleza ili tujifunze Kuinuka na nguvu kubwa... Mungu anasema usiogope... Tusiogope... Ukiniona barabarani huwezi amini Ni mtu mwenye shida zote hizo. Never Stop the race....!!!!
 
Umri: 40
Elimu: Diploma
Uzito : 84kg
Urefu: 1.7m
Kazi: Sina
Hela: Sina
Nyumba: Sina
Watoto: Watatu Ke1, Me2
Mke: Sina
Ujuzi: Umeme, useremala, na ufundi vyuma.
Madeni: Milion 2.4
Mengineyo... Situmii pombe, sigara Wala bangi... Nilishawahi Kutumia Miaka 18 iliyopita. Napenda kujishughulisha kazi za mikono za ujuzi... Kujisomea vitabu... Nina ndoto kubwa Sana Lakini sijaweza kuzitekeleza... Ukija tutasaidiana jinsi ya kuanza na Kufanikisha ndoto zetu.
Kuhusu Mapenzi Nina wivu Sana sipendi umalaya.. Mwanamke nayemuhitaji awe Mjane au aliyezaa angalau watoto wawili..Apende kujishughulisha.. Umri wake aanzie 32-43 awe mwembamba asiwe mnene tafadhali... Dini Awe Mkristo.. Mengine tutakamilishana
Ukipendezwa nami karibu PM au gddtechnicians@gmail.com. Blessed

Sasa bro mm nina twenty five pia natafuta wakukunja tu vizuri ila kwenye kumelife siko teyar
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom