financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Aah sikubishii ila nani kakuconfirmia hunuki, maana hata wanaonuka huwa hawajijui hadi waambiwe wewe sema nani alikunusa akakupa hilo jibu kwamba hunuki hata masikio tu?Sasa mama unanibishia wakati huu ni mwili wangu..Siwezi nukaaa, njoo UNINUSE...
Mbona umeifanya mada my dear? Kunuka siyo kitu cha kawaida ..Mimi najijua ni msafi, najipenda na pia naambiwaga...Sinuki hata nikitoka kuamka kama hutaki basi siyo lazima tufananeAah sikubishii ila nani kakuconfirmia hunuki, maana hata wanaonuka huwa hawajijui hadi waambiwe wewe sema nani alikunusa akakupa hilo jibu kwamba hunuki hata masikio tu?
ππ haya mama acha nifunge hii mada. Nilikua nakuchokoza tu. Kila rakheri upate hitaji la moyo wako na ukipata wengi please nipasie hata 1 tu.Mbona umeifanya mada my dear? Kunuka siyo kitu cha kawaida ..Mimi najijua ni msafi, najipenda na pia naambiwaga...Sinuki hata nikitoka kuamka kama hutaki basi siyo lazima tufanane
Nenda Badoo wapo maseka kibao yaaniHabari wapendwa,
Natafta mwanaume wa kufarijiana. Natamani sana kupata mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga[emoji179][emoji179].
Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a happy relationship.
Sifa.
Asiwe chini ya 30 yrs.
Awe anajua kumjali mwanamke .
Asiwe ananuka mdomo(cuz napenda sana romance)
Sifa zangu.
Umri wangu ni 27 yrs.
Mwelewa,msafi,mchapakazi na mjasiriamali.
Kama huna hizo sifa, USIJE DM.
Msinitukane please, Nitalia.
[emoji179][emoji179][emoji179][emoji179][emoji179][emoji23][emoji23] haya mama acha nifunge hii mada. Nilikua nakuchokoza tu. Kila rakheri upate hitaji la moyo wako na ukipata wengi please nipasie hata 1 tu.
Kwani huku siruhusiwi kutafta au?Nenda Badoo wapo maseka kibao yaani
Hawaweki picha,Kwani huku siruhusiwi kutafta au?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23] haya mama acha nifunge hii mada. Nilikua nakuchokoza tu. Kila rakheri upate hitaji la moyo wako na ukipata wengi please nipasie hata 1 tu.
Hi gwa kumyitu! Vipi umeshaenda pm ama wewe ulishapata?π[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ha ha ha bado najitathmini hapa [emoji3][emoji3]Hi gwa kumyitu! Vipi umeshaenda pm ama wewe ulishapata?[emoji23]
Habari wapendwa,
Natafta mwanaume wa kufarijiana. Natamani sana kupata mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga[emoji179][emoji179].
Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a happy relationship.
Sifa.
Asiwe chini ya 30 yrs.
Awe anajua kumjali mwanamke .
Asiwe ananuka mdomo(cuz napenda sana romance)
Sifa zangu.
Umri wangu ni 27 yrs.
Mwelewa,msafi,mchapakazi na mjasiriamali.
Kama huna hizo sifa, USIJE DM.
Msinitukane please, Nitalia.
Nashukuru Kwa kujali. Japo Sikuwa na Maana ya kulipiwa.. Just Kuwa muwazi Kuwa some money zitaenda Kufukia Mashimo...!! Deni linakaribia kuisha.. Kabla ya December!! God is Great!! Mpaka Sasa nishalipa 1.9m Although Watu walichukulia kama Mzaha.. You people hamjui Watu wanapitia Nini.. But Secondly She is To Young to be My Lover.... We will Never Stop The Race .....πͺπͺπͺπͺπͺ. Nilichojifunza ni Kuwa Watu Wengi ni waoga sana Kuamini na kuthubutu...But If You Try You will know Your Capabilities.... All the Best in this Journey of Life....Jitose.
Mlipie hiyo 2.4 anayodaiwa afu uone kunaendaje.
Asante Boss...!! But Gregory Issack The Singer akaimba She is Too Young to be My Lover...!!!
Kwani ukimpenda Mtu huwezi kumbebea msalaba wake??Nimlipie tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Wwe ni Mjasiliamali wa shughuli gani!? Na uko mkowa gani!?Habari wapendwa,
Natafta mwanaume wa kufarijiana. Natamani sana kupata mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga[emoji179][emoji179].
Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a happy relationship.
Sifa.
Asiwe chini ya 30 yrs.
Awe anajua kumjali mwanamke .
Asiwe ananuka mdomo(cuz napenda sana romance)
Sifa zangu.
Umri wangu ni 27 yrs.
Mwelewa,msafi,mchapakazi na mjasiriamali.
Kama huna hizo sifa, USIJE DM.
Msinitukane please, Nitalia.
hadi ku ma hunuki ? baada ya gemu ?Siwezi nukaaa
Una uhakikaa na unachokisema!?Hakuna kinachonuka katika mwili wangu my dear..