Nimechoka Upwekee, Nahitaji Mwenza

Nimechoka Upwekee, Nahitaji Mwenza

Status
Not open for further replies.
Aah sikubishii ila nani kakuconfirmia hunuki, maana hata wanaonuka huwa hawajijui hadi waambiwe wewe sema nani alikunusa akakupa hilo jibu kwamba hunuki hata masikio tu?
Mbona umeifanya mada my dear? Kunuka siyo kitu cha kawaida ..Mimi najijua ni msafi, najipenda na pia naambiwaga...Sinuki hata nikitoka kuamka kama hutaki basi siyo lazima tufanane
 
Mbona umeifanya mada my dear? Kunuka siyo kitu cha kawaida ..Mimi najijua ni msafi, najipenda na pia naambiwaga...Sinuki hata nikitoka kuamka kama hutaki basi siyo lazima tufanane
😂😂 haya mama acha nifunge hii mada. Nilikua nakuchokoza tu. Kila rakheri upate hitaji la moyo wako na ukipata wengi please nipasie hata 1 tu.
 
Habari wapendwa,

Natafta mwanaume wa kufarijiana. Natamani sana kupata mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga[emoji179][emoji179].

Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a happy relationship.

Sifa.
Asiwe chini ya 30 yrs.
Awe anajua kumjali mwanamke .
Asiwe ananuka mdomo(cuz napenda sana romance)


Sifa zangu.
Umri wangu ni 27 yrs.
Mwelewa,msafi,mchapakazi na mjasiriamali.

Kama huna hizo sifa, USIJE DM.

Msinitukane please, Nitalia.
Nenda Badoo wapo maseka kibao yaani
 
Umesahau kuweka kiwango chako ulichowahi kuhonga kuanzia kidogo hadi kile cha juu kabisa.
😜
Habari wapendwa,

Natafta mwanaume wa kufarijiana. Natamani sana kupata mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga[emoji179][emoji179].

Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a happy relationship.

Sifa.
Asiwe chini ya 30 yrs.
Awe anajua kumjali mwanamke .
Asiwe ananuka mdomo(cuz napenda sana romance)


Sifa zangu.
Umri wangu ni 27 yrs.
Mwelewa,msafi,mchapakazi na mjasiriamali.

Kama huna hizo sifa, USIJE DM.

Msinitukane please, Nitalia.
 
Jitose.

Mlipie hiyo 2.4 anayodaiwa afu uone kunaendaje.
Nashukuru Kwa kujali. Japo Sikuwa na Maana ya kulipiwa.. Just Kuwa muwazi Kuwa some money zitaenda Kufukia Mashimo...!! Deni linakaribia kuisha.. Kabla ya December!! God is Great!! Mpaka Sasa nishalipa 1.9m Although Watu walichukulia kama Mzaha.. You people hamjui Watu wanapitia Nini.. But Secondly She is To Young to be My Lover.... We will Never Stop The Race .....💪💪💪💪💪. Nilichojifunza ni Kuwa Watu Wengi ni waoga sana Kuamini na kuthubutu...But If You Try You will know Your Capabilities.... All the Best in this Journey of Life....
 
Habari wapendwa,

Natafta mwanaume wa kufarijiana. Natamani sana kupata mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga[emoji179][emoji179].

Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a happy relationship.

Sifa.
Asiwe chini ya 30 yrs.
Awe anajua kumjali mwanamke .
Asiwe ananuka mdomo(cuz napenda sana romance)


Sifa zangu.
Umri wangu ni 27 yrs.
Mwelewa,msafi,mchapakazi na mjasiriamali.

Kama huna hizo sifa, USIJE DM.

Msinitukane please, Nitalia.
Wwe ni Mjasiliamali wa shughuli gani!? Na uko mkowa gani!?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom