financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Aah sikubishii ila nani kakuconfirmia hunuki, maana hata wanaonuka huwa hawajijui hadi waambiwe wewe sema nani alikunusa akakupa hilo jibu kwamba hunuki hata masikio tu?Sasa mama unanibishia wakati huu ni mwili wangu..Siwezi nukaaa, njoo UNINUSE...