Nimechoka Upwekee, Nahitaji Mwenza

Nimechoka Upwekee, Nahitaji Mwenza

Status
Not open for further replies.
Habari wapendwa,

Natafta mwanaume wa kufarijiana. Natamani sana kupata mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga[emoji179][emoji179].

Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a happy relationship.

Sifa.
Asiwe chini ya 30 yrs.
Awe anajua kumjali mwanamke .
Asiwe ananuka mdomo(cuz napenda sana romance)


Sifa zangu.
Umri wangu ni 27 yrs.
Mwelewa,msafi,mchapakazi na mjasiriamali.

Kama huna hizo sifa, USIJE DM.

Msinitukane please, Nitalia.

Nimekuja haraka lakini hapo kwenye kuhonga Ndio nimefunga break
 
Habari wapendwa,

Natafta mwanaume wa kufarijiana. Natamani sana kupata mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga[emoji179][emoji179].

Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a happy relationship.

Sifa.
Asiwe chini ya 30 yrs.
Awe anajua kumjali mwanamke .
Asiwe ananuka mdomo(cuz napenda sana romance)


Sifa zangu.
Umri wangu ni 27 yrs.
Mwelewa,msafi,mchapakazi na mjasiriamali.

Kama huna hizo sifa, USIJE DM.

Msinitukane please, Nitalia.
Foleni,huyu vip? Namuombaje mtaji?
 
Habari wapendwa,

Natafta mwanaume wa kufarijiana. Natamani sana kupata mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga[emoji179][emoji179].

Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a happy relationship.

Sifa.
Asiwe chini ya 30 yrs.
Awe anajua kumjali mwanamke .
Asiwe ananuka mdomo(cuz napenda sana romance)


Sifa zangu.
Umri wangu ni 27 yrs.
Mwelewa,msafi,mchapakazi na mjasiriamali.

Kama huna hizo sifa, USIJE DM.

Msinitukane please, Nitalia.

suzie _barbie 😍🙌
Mungu akutangulie kwakweli
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom