Mlatino Zeshalo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,130
- 3,599
Duuh, kufungiwa kwa website za porn tz kunaleta mengi mitandaoni. Watu wanatafuta mtu anayejua kuhonga, hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida iko wapi jamani? Ili mradi pesa siyo ya kwako mpenziDuuh, kufungiwa kwa website za porn tz kunaleta mengi mitandaoni. Watu wanatafuta mtu anayejua kuhonga, hatari
Wala sitaki kudanga...Nataka anayejua dhamani ya mwanamke .Mwanamke anahitaji kutunzwa siyo kutunziwa..
My dear, sitaki mnuka mdomo kabisa..Unaweza fanya hayo yote lakini bado akawa ananuka mdomo...Sitaki kabisaAkiwa ananuka mdomo mnunulie mswaki na Colgate
Jamani mbona unafukua makaburi...That's my past, People move on dearSema nataka mwanaume wakudanga.....
Yule richest man wa mwanza vip? Danga lilikata penzi...
Habari wapendwa,
Natafta mwanaume wa kufarijiana. Natamani sana kupata mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga[emoji179][emoji179].
Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a happy relationship.
Sifa.
Asiwe chini ya 30 yrs.
Awe anajua kumjali mwanamke .
Asiwe ananuka mdomo(cuz napenda sana romance)
Sifa zangu.
Umri wangu ni 27 yrs.
Mwelewa,msafi,mchapakazi na mjasiriamali.
Kama huna hizo sifa, USIJE DM.
Msinitukane please, Nitalia.
Foleni,huyu vip? Namuombaje mtaji?Habari wapendwa,
Natafta mwanaume wa kufarijiana. Natamani sana kupata mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga[emoji179][emoji179].
Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a happy relationship.
Sifa.
Asiwe chini ya 30 yrs.
Awe anajua kumjali mwanamke .
Asiwe ananuka mdomo(cuz napenda sana romance)
Sifa zangu.
Umri wangu ni 27 yrs.
Mwelewa,msafi,mchapakazi na mjasiriamali.
Kama huna hizo sifa, USIJE DM.
Msinitukane please, Nitalia.
We ain't together anymoreFoleni,huyu vip? Namuombaje mtaji?
Habari wapendwa,
Natafta mwanaume wa kufarijiana. Natamani sana kupata mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga[emoji179][emoji179].
Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a happy relationship.
Sifa.
Asiwe chini ya 30 yrs.
Awe anajua kumjali mwanamke .
Asiwe ananuka mdomo(cuz napenda sana romance)
Sifa zangu.
Umri wangu ni 27 yrs.
Mwelewa,msafi,mchapakazi na mjasiriamali.
Kama huna hizo sifa, USIJE DM.
Msinitukane please, Nitalia.
Asante mpenzisuzie _barbie [emoji7][emoji119]
Mungu akutangulie kwakweli
Hakuna kinachonuka katika mwili wangu my dear..Wewe hunuki mdomo? Na Nani alikwambia hunuki?
Nani kakuhakikishia hilo? Hivi unajua hata shingo inaweza kua inanuka na usijue? Usidhani ni mdomo tu🤔Hakuna kinachonuka katika mwili wangu my dear..
Sasa mama unanibishia wakati huu ni mwili wangu..Siwezi nukaaa, njoo UNINUSE...Nani kakuhakikishia hilo? Hivi unajua hata shingo inaweza kua inanuka na usijue? Usidhani ni mdomo tu[emoji848]