Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo Neno kausha ni red-light kwenye mahusianonmefrai sana kukutana na ww mwanamke ambae ana sifa nazozitafta na mm ninazo zote unazotaka.njoo DM kwa mazungumzo zaid ila kama haupo dsm kausha tu
Asante dearKila la heri Bibie!
Ndio wa hivyo simtaki tena. I wasn't serious
Ok Kila la kheri ukitaka wa kukuhonga nishtue nikuunge nae.Ndio wa hivyo simtaki tena. I wasn't serious
30+ atakua anapewa yeye mashariti ya muda wa kupiga simu,hata kama Mtoto wake anaumwa usiku wa manane apambane nae mwenyewe!!Aso hili ana lile madame.ngoja ufikishe 30yrs hayo masherti lazima yamelt katika mazingira ya kutatanisha shoo
Kwa hiyo hapo mtaani kwenu Wanaume wote wananuka midomo hadi uje kutafuta humu Jf!?Ki vyovyote vile...Ila sitaki mnuka mdomo
Bado mdogo kidunia,anaishii Maisha ya Bongo movie,hajui watu Wana mengi!!Tunakuvutia upepo[emoji16][emoji16][emoji16]ngoja apatikane handsamu,mrefu,ako na fweza mobu,anajua kuhonga na mengineyo lakini ni mnuka mdomo...hapo sasa ndo utajua nini nililokuwa nalimaanisha niliposema aso hili ana lile
Mnukaa mdomo na mnukaa papuchi wakikutana kila mmoja anamuona mwenzake ndiyo ananuka!!Niache Chakorii....Mimi hata iweje sitaki mnuka mdomo ..
Vipi mkuu unanuka mdomo? Mbona povu mpendwa?...Ndo nishasema sitaki mnuka mdomo...call policeBado mdogo kidunia,anaishii Maisha ya Bongo movie,hajui watu Wana mengi!!
Subiri kichome Chanjo kwanza ndiyo akupe utest mitambo Kama iko fitkilete nitesti mitambo nijihakikishie
Wazee wa kufukua ...
Hajui humu kuna wazibua mitaro taratibu!!Wazee wa kufukua ...
Mkuu suzie _barbie uko serious kweli unataka mwenza? Mbona makaburi yanofukuliwa humu yanaonesha upo kipesa zaidi na sio mapenzi kama ulivyoainisha kwenye uzi wako??
Au ni mbinu tu za kivita zinabadilika lakini hitaji ni mwenza??
Shushaa sauti ukiwa unaongea na Wanaume,Ndoa au Mahusiano yatakushinda mapema sana Mtoto wa kike ukipaza sauti mbele ya Wanaume! Wanaume tunapenda Wanawake wenye sauti ya chini mbele ya Wanaume usiwe Kiperetoo sana!!Vipi mkuu unanuka mdomo? Mbona povu mpendwa?...Ndo nishasema sitaki mnuka mdomo...call police
Kabisa mkuu na kwasababu humu wengi hatujuani kwahiyo mtu anatumia nyuzi zako na reply zako kukutathmini ni mtu wa namna gani. Zinaweza kua si kweli lakini ndio hivyo wengi huzitumia kukujua japo kidogo.Hajui humu kuna wazibua mitaro taratibu!!
Nahitaji kampani yako!mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga
.![]()
Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a happy relationship.
Nimecheka hapo eti msinitukane ntalia. Lol. 😀😀😀
Kila la kheri mwaya.