Nimechoka Upwekee, Nahitaji Mwenza

Nimechoka Upwekee, Nahitaji Mwenza

Status
Not open for further replies.
nmefrai sana kukutana na ww mwanamke ambae ana sifa nazozitafta na mm ninazo zote unazotaka.njoo DM kwa mazungumzo zaid ila kama haupo dsm kausha tu
Hilo Neno kausha ni red-light kwenye mahusiano
 
Daah pole Sana aisee

Vip wa hivi je akija humtaki tena?
Pic_1629615806747.jpg
 
Aso hili ana lile madame.ngoja ufikishe 30yrs hayo masherti lazima yamelt katika mazingira ya kutatanisha shoo
30+ atakua anapewa yeye mashariti ya muda wa kupiga simu,hata kama Mtoto wake anaumwa usiku wa manane apambane nae mwenyewe!!
 
Tunakuvutia upepo[emoji16][emoji16][emoji16]ngoja apatikane handsamu,mrefu,ako na fweza mobu,anajua kuhonga na mengineyo lakini ni mnuka mdomo...hapo sasa ndo utajua nini nililokuwa nalimaanisha niliposema aso hili ana lile
Bado mdogo kidunia,anaishii Maisha ya Bongo movie,hajui watu Wana mengi!!
 
Daah pole Sana aisee

Vip wa hivi je akija humtaki tena?View attachment 1902695
Wazee wa kufukua ...

Mkuu suzie _barbie uko serious kweli unataka mwenza? Mbona makaburi yanofukuliwa humu yanaonesha upo kipesa zaidi na sio mapenzi kama ulivyoainisha kwenye uzi wako??
Au ni mbinu tu za kivita zinabadilika lakini hitaji ni mwenza??
 
Wazee wa kufukua ...

Mkuu suzie _barbie uko serious kweli unataka mwenza? Mbona makaburi yanofukuliwa humu yanaonesha upo kipesa zaidi na sio mapenzi kama ulivyoainisha kwenye uzi wako??
Au ni mbinu tu za kivita zinabadilika lakini hitaji ni mwenza??
Hajui humu kuna wazibua mitaro taratibu!!
 
Vipi mkuu unanuka mdomo? Mbona povu mpendwa?...Ndo nishasema sitaki mnuka mdomo...call police
Shushaa sauti ukiwa unaongea na Wanaume,Ndoa au Mahusiano yatakushinda mapema sana Mtoto wa kike ukipaza sauti mbele ya Wanaume! Wanaume tunapenda Wanawake wenye sauti ya chini mbele ya Wanaume usiwe Kiperetoo sana!!
 
Hajui humu kuna wazibua mitaro taratibu!!
Kabisa mkuu na kwasababu humu wengi hatujuani kwahiyo mtu anatumia nyuzi zako na reply zako kukutathmini ni mtu wa namna gani. Zinaweza kua si kweli lakini ndio hivyo wengi huzitumia kukujua japo kidogo.

Ndio maana wengi wanapotaka kuomba kitu/ushauri sensitive wanakuja na id mpya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom