Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Ndio musimfokee sasa.Hapendi kufokewa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio musimfokee sasa.Hapendi kufokewa!
Asante mpenziNimecheka hapo eti msinitukane ntalia. Lol. [emoji3][emoji3][emoji3]
Kila la kheri mwaya.
Kweli sipendi kufokewaHapendi kufokewa!
Kufokewa kunanogesha mapenziNdio musimfokee sasa.
Kumbe?Kufokewa kunanogesha mapenzi
HujawaiKumbe?
Ndio kunanogesha kama pia utafokewa na minoti siyo maneno tuKufokewa kunanogesha mapenzi
Badae anakupelekea moto! Kunanogesha sanaNdio kunanogesha kama pia utafokewa na minoti siyo maneno tu
Badae anakupelekea moto! Kunanogesha sana[/QUOTE....
We mwache.na mtu ukishafika 30 aiseh sijui miaka inafunguliwa kutoka mbinguni...maana inamiminika mno30+ atakua anapewa yeye mashariti ya muda wa kupiga simu,hata kama Mtoto wake anaumwa usiku wa manane apambane nae mwenyewe!!
Amekujibu?Kwa hiyo hapo mtaani kwenu Wanaume wote wananuka midomo hadi uje kutafuta humu Jf!?
Namlia taimingi tuBado mdogo kidunia,anaishii Maisha ya Bongo movie,hajui watu Wana mengi!!
We ukorofi huachi.. [emoji23]Hakuna ulichofanya[emoji1787]
Yaani unavyopenda manoti Kama vile ina Tv ndani!! By Mwana FA!!Ndio kunanogesha kama pia utafokewa na minoti siyo maneno tu
wanaojielewa hawatafuta madanga jf, wako badoo
Kwanini uko bitter sana kwa mtoa mada? Kuna lako alilokulia? Stop stooping so low bwana.kadada ni muuza k kalikochangamka, eti mara anihonge,
ataliwa na hata senti 1 hapati
My son uje nyumbani unatafutwa na mzee Massawe.Hatimae na mimi naenda kupata mchumba jf....nakuja pm suzy
[emoji179][emoji179][emoji179][emoji179]Kila la kheri mama, Mungu akutangulie utimize haja ya moyo wako. Never lower your standards no matter what. Wanaokukatisha tamaa usiwaruhusu, kukata kwao tamaa hakumaanishi dunia nzima wakate tamaa.
tatizo anaficha, aweke wazi anatafuta danga , tuingie PM tu bid dauKwanini uko bitter sana kwa mtoa mada? Kuna lako alilokulia? Stop stooping so low bwana.