Not only anawaambia rafiki zake but anaweza pia kuwahonga bibi zake huko nje! (but this is another topic)I hope wewe ni she!
Vijana wa siku hizi wamegundua hako kamtindo ka kulelewa, tena akitoka hapo anaenda kuwaambia rafiki zake!
Wapendwa, nina mpenzi ambaye simwelewi tabia yake,yeye anataka kila siku mimi nimpe hela pindi anapokuwa na shida, eti kisa mimi nafanya kazi yeye bado anasoma.Na kama ikitokea kakuomba hela afu huna inakuwa ugomvi kwamba simjali najithamini mimi tu.Nimeshajaribu kumweleza kuwa mimi huwa namsaidia kwa kumuonea huruma tu na wala sio jukumu langu na haipaswi yeye kunigeuza mimi ndio mlezi wake ila hailewi.
Asa sijui hata nimwelewesheje? kwasababu jambo hili huzua ugomvi mara kwa mara. Msaada tafadhari
naona ile kumuonea huruma ndo kumeniponza na kuniletea hii dhahama
Mi nadhani inategemea ilikuwaje we ukaanza kumpa hela ?mara ya kwanza alikuelezea shida yake uliipokeaje pengine kama ww ni he ulimuingia kwa gia ya pesa si tatizo maana wengi mnakopaga na kuazima mradi tu uonekane mambo safi then badae ndio hivyo tena ..hapo inategemea na jinsi mlivyoanzana lol kaa naye muelezane ukweli halisi kama anakupenda atakuelewa na akikukimbia basi wako ambao wapo after money !!!wanasemaga hapa hapendwi mtu ....
Umeona juhudi yoyote toka kwake upande wa kutafuta kazi? maana wanafunzi wengi wana fanya kazi pia.
Kama hakuna juhudi, na umemwambia mara nyingi kua sio jukumu lako (which is true) na yeye akaendelea kua mvivu na kukuomba wewe (tena anaomba kama analipisha deni) basi ni bora mtazame uhusiano wenu upya maana swala la pesa ni muhimu katika uhusiano na nibora toka mwanzo watu wawe na mtazamo mmoja kuhusi role, source and place ya pesa katika relation.
Mimi ni mdada na nimeshajaribu kumuelewesha mara nyingi lakini ni imekuwa mlalamiko na ugomvi tu kwasababu yeye anaona kama ni haki yake mimi kuwa namsaidia kila siku tu
ndio maana nilipoanza kuona anazoea na kamekuwa kamchezo nikaanza kumwelimisha lakini sasa ukimwambia tu ndio ugomvi unaibukaI hope wewe ni she!
Vijana wa siku hizi wamegundua hako kamtindo ka kulelewa, tena akitoka hapo anaenda kuwaambia rafiki zake!