Dena Amsi R I P Joined Aug 17, 2010 Posts 13,080 Reaction score 4,273 Dec 6, 2011 #81 Piga chini hako kajmaa kanaleta ugomvi kwani pesa zake?? Alah? Vitoto vya siku hizi bana kupenda kulelewa tu
Piga chini hako kajmaa kanaleta ugomvi kwani pesa zake?? Alah? Vitoto vya siku hizi bana kupenda kulelewa tu
Chauro JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 2,968 Reaction score 1,478 Dec 6, 2011 #82 Dena Amsi mambo upo? Dena Amsi said: Piga chini hako kajmaa kanaleta ugomvi kwani pesa zake?? Alah? Vitoto vya siku hizi bana kupenda kulelewa tu Click to expand...
Dena Amsi mambo upo? Dena Amsi said: Piga chini hako kajmaa kanaleta ugomvi kwani pesa zake?? Alah? Vitoto vya siku hizi bana kupenda kulelewa tu Click to expand...
Zabibu JF-Expert Member Joined Dec 2, 2011 Posts 256 Reaction score 54 Dec 6, 2011 Thread starter #83 mfarisayo said: Hembu tuambie mnaishi katika mazingira yapi? Mnaishi naye au anaishi sehemu tofauti? Na huo ugomvi ni wa aina gani maneno tu au nakipigo anakupatia? kama hamuishi pamoja basi hakuna sababu ya wewe kuogopa huo ugomvi Click to expand... Hatuishi pamoja na wala ugomvi sio wa kipigo
mfarisayo said: Hembu tuambie mnaishi katika mazingira yapi? Mnaishi naye au anaishi sehemu tofauti? Na huo ugomvi ni wa aina gani maneno tu au nakipigo anakupatia? kama hamuishi pamoja basi hakuna sababu ya wewe kuogopa huo ugomvi Click to expand... Hatuishi pamoja na wala ugomvi sio wa kipigo
Dena Amsi R I P Joined Aug 17, 2010 Posts 13,080 Reaction score 4,273 Dec 6, 2011 #84 Chauro said: Dena Amsi mambo upo? Click to expand... Nipo mpenzi mambo yamebana tu kwa sana