Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MPE mtaji tu apige jobDhana ya kujiajili ndipo inapata mashiko
Jiajili mkuu
Ndio only way forwardni rahisi kusema
Capital is Man MadeMPE mtaji tu apige job
Unautengenezaje mkuu,maana hata kupata kibarua cha saidia fundi nishida mpaka connection.Capital is Man Made
Refer to Capital formulation and accumulation concepts as well!!
Mtaji lazima uutengeneze, uulee na uutunze kwa gharama zako
Ingekuwa ni rahisi kama unavyoandika hapa basi kila mtu angekimbilia hukoDhana ya kujiajili ndipo inapata mashiko
Jiajili mkuu
Acha ujinga,linakuchefua wakati hapo juu umelitaja.Kafanye kilimo ndugu.usitamke hilo jina linanichefua
Una mimba?usitamke hilo jina linanichefua
Poleni sana kwa haya majaribu mnayopitia.Sio wew tu, mimi hapa nna watu kama 7 hapo nyuma wananitegemea na mm nategemea nipate ajira ya serikali nikope bank nikasomeshe wadogo zangu.. hapa nilipo sina hamu natamani ningepata Namba ya Mheshimiwa Ummy nimlilie maana sina namna.. Kwa kweli next time waangalie Hata Mwaka mtu uliohitimu ili wote tupate kwa Uhakika.. inavunja moyo sana..
Elfu 90 na ushee! Wamepata elfu 6 na ushee!! Yaani hawajafika hata elfu 7!!! 🙄Kwani mliomba wangapi na wamepata wangapi?
Hii mbona hatari..Elfu 90 na ushee! Wamepata elfu 6 na ushee!! Yaani hawajafika hata elfu 7!!! [emoji849]