Nimechukia sana kukosekana kwenye ajira za jana. Nina jazba sana nimekata tamaa

Nimechukia sana kukosekana kwenye ajira za jana. Nina jazba sana nimekata tamaa

Hata Kikwete angekuepo ni Rais asingeweza kuajiri walimu wote yaani graduates wote. kumbuka hata wakati Kikwete anamaliza muda wake Ajira zilikuepo zimeanza kususua tayari kwahiyo graduate wamekuepo wengi mno. Mimi nakumbuka wataalam wa mifugo tulisjiriwa Kwa interview mwaka 2014 ikiwa ni mara ya Kwanza kufanya interview

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Sure, na ndo umuhimu wa kuruhusu sector binafsi istawi.

Toka Uhuru hadi sasa watanzania wanaoajiriwa na Serikali hawavuki Laki sita (600,000) miongoni mwa Watanzania wapatao 61+ M.

Sector binafsi mfano shule za binafsi, vyuo vya kati vya binafsi na vyuo vikuu vya binafsi vingeweza kusaidia kwa kutoa ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja lakini zenye tija kwa ustawi wa jamii na ukuaji wa uchumi.

Bahati mbaya sana badala ya kulea sector binafsi Serikali iliyopota ilikuwa inafanya kazi ya kuangamiza sector binafsi. Moja ya matokeo yake ndo hili lundo la vijana wasio na ajira wala mitaji.

Tusirudie makosa ya kuwapa madaraka viongozi wenye " government mentality" kwamba Serikali inaweza kuendesha uchumi, kufanya biashara na kuajiri watu wote. Ni upumbavu.

Kazi ya Serikali ni kwenye level ya sera nzuri, pamoja na kutoa huduma; maji, umeme, afya na kujenga miundombuni.
 
Nimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,

uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?

Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbn kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?

sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu

kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017

upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana
Unachekesha yaani magufuli ndo kaajilijana wakati keshakufa?
Kama una hasira tukana waliopo ili moyo wako upoe na ujiweke wazi ulipo.
 
Capital is Man Made

Refer to Capital formulation and accumulation concepts as well!!

Mtaji lazima uutengeneze, uulee na uutunze kwa gharama zako
Muelekeze akasome kitabu cha "the richest man in Babylon " utakuwa umemsaidia sana, kama na wewe hujakisoma kakisome utakuja kunishukuru.
 
Kama Magufuli alikosea kwanini wengine wasirekebishe makosa yake? au aliondoka na akili zetu!.
Kuna makosa mengine yanahitaji mda mrf kuyarekebisha na sio kwa siku kadhaa, mfano suala la ajira kuna graduate zaid ya laki tatu waliolimbikizwa mtaani na mwendazake, kuwapunguza hawa mpk waishe is not overnight process.
 
Nimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,

uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?

Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbn kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?

sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu

kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017

upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

"Kigezo kilipaswa kuwa mwaka aliohitimu."

Tukutane July 1 kwenye jambo letu. Haki haijawahi kuzuiliwa kwa mikono.
 
Tatzo mnaambiwa walim wa art wapo in excess halafu mnan'gang'ana na bach za education in linguistics ( halafu kipindi tunasoma ndo mlikuw mbatupigia makeleleee na mnakula bataaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] . Vuneni mlichopanda
Mzee mbona unanishambulia mimi[emoji23][emoji23]
Mimi nimeuliza tu, kwanza sijasoma ualimu pili nimejiajiri toka 2014..
Nilitaka nijue tu ukubwa wa tatizo.
 
Aisee inauma sana! Ukichukulia most of the graduates wanatokea kwenye familia maskini! Wanatakiwa wawe watulivu sana katika hiki kipindi kigumu wanachopitia.

Waombaji elfu 90 halafu wanaotakiwa ni elfu 7 kasoro, hakika waombaji walitakiwa kujiandaa kisaikolojia. Yameshatokea! Wanatakiwa waingie tu mtaani kwa ajili ya mapambano dhidi ya maisha.
Halafu kazi zenyewe za kwenda mavijijin kwingine Hakuna hata huduma za kijamii
 
Usikate tamaa .Gods time is always perfect ,huwezi jua ungepata Ajira wakati wa kwenda kuripoti ungepata ajali ukawa mlemavu au ukifa.
Mungu ana siri nyingi juu yako.
Lakini pia kuna Ajira za walimu 10,419 za mwaka ujao wa fedha utakaonza July 2021 so wanaweza kutangaza zingine mwezi wa 9 au 11
Kwani ukikosa ajira huwez kupata ajali ukawa mlemavu na kufa?

Haya Mawazo ya kishenzi ndio yamefanya ccm kutawala miaka 60 bila la maana
 
Kama Magufuli alikosea kwanini wengine wasirekebishe makosa yake? au aliondoka na akili zetu!.
Kwa upande wa ajira Magufuli alifanya makosa ila bado tu ukosefu wa ajira wa kiwango cha juu usingeepukika hata kama Kikwete angeendelea mpaka sasa. Ukweli ni kuwa graduates wanaongeza kwa wingi kuliko nafasi za ajira, hivyo tutegemee kadiri miaka inavyosonga mbele ndivyo hali itakavyozidi kuwa ngumu. Tatizo mimi naona lilifanyika miaka ya nyuma. Tuliamua kuongeza shule na vyuo bila kujali vigezo vya kuongeza na matokeo yake wahitimu wengi ni chini ya kiwango kwa kuajiriwa au hata kujiajiri. Matatatizo ya ajira yalishatengezwa tangu tawala za nyuma, Magufuli alilipukiwa tu na bomu ambalo hakulitengeneza.
 
Kwa upande wa ajira Magufuli alifanya makosa ila bado tu ukosefu wa ajira wa kiwango cha juu usingeepukika hata kama Kikwete angeendelea mpaka sasa. Ukweli ni kuwa graduates wanaongeza kwa wingi kuliko nafasi za ajira, hivyo tutegemee kadiri miaka inavyosonga mbele ndivyo hali itakavyozidi kuwa ngumu. Tatizo mimi naona lilifanyika miaka ya nyuma. Tuliamua kuongeza shule na vyuo bila kujali vigezo vya kuongeza na matokeo yake wahitimu wengi ni chini ya kiwango kwa kuajiriwa au hata kujiajiri. Matatatizo ya ajira yalishatengezwa tangu tawala za nyuma, Magufuli alilipukiwa tu na bomu ambalo hakulitengeneza.
Kipindi Cha Magufuli makampuni mengi yamefungwa msijifanye tumeshahau. Manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 5000 unadhani kwa Sasa wako wapi ?
 
Kipindi Cha Magufuli makampuni mengi yamefungwa msijifanye tumeshahau. Manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 5000 unadhani kwa Sasa wako wapi ?
Hili watu hawataki kuliona. Wanadhani watu wanataka kuajiri serikalini. Kipindi sekta binafsi ipo vizuri, kuna watu walikuwa wanaacha kazi wanaenda sekata binafsi na wengine kujiajiri. Fast foward kuanzia 2015 ajira serikalini zikawa almasi.
 
Kipindi Cha Magufuli makampuni mengi yamefungwa msijifanye tumeshahau. Manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 5000 unadhani kwa Sasa wako wapi ?
Nadhani kama umesoma vizuri utaona nimesema Magufuli naye alichangia. Ila nilichosisitiza ni kuwa hata kama angeendelea kuongoza kama Kikwete lakini ilikuwa ni suala la muda tu haya yangetokea. Ukichukuwa idadi ya watu wanaolalamika ajira mitaani ni kubwa sana sana.
 
Back
Top Bottom