Nimechukia sana kukosekana kwenye ajira za jana. Nina jazba sana nimekata tamaa

Nimechukia sana kukosekana kwenye ajira za jana. Nina jazba sana nimekata tamaa

Anajitoa ufahamu , natolea mfano makampuni binafsi ya uhandisi , tender nyingi walinyimwa + kubambikiziwa Kodi zisizolipika , kufungiwa accounts , kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi + Sera mbovu na mazingira mabovu ya uongozi chatonian + mdororo WA uchumi uliotokana na hizo issues hapo , kuna makampuni mengi Tu yamefunga biashara , kufilisika , kupunguza wafanyakazi / mishahara .
Magufuli alikuwa shetani ibilisi kabisa yule
Kiufupi ilibidi iwe vile ili tutoke kwenye mkwamo uliokuwepo
 
Nimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,

uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?

Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbona Kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?

sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu

kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017

upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana
Pole Sana mkuu
 
mkuu pole sana, kuna jamaa nilimkuta anaangalia ndugu zake kwenye list kila anaemcheki hayupo nikaona machozi yanamlenga, imagine kama mtu baki anataka kulia je mhusika? Kweli jiwe lilaaniwe huko liliko.
 
Mama ni msikivu atasolve hili kwa awamu awamu nadhani,naye anatambua shida zetu,maskini hampendi nwanae,in Samier voice
 
 
Nimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,

uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?

Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbona Kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?

sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu

kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017

upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana
MI NAONA SHIDA SIO MAGUFULI MIAKA YA NYUMA ATA WANAOMALIZA DARASA LA SABA KUINGFIA FORM 1 UNAKUTA SHULE NZIMA WATU ISHIRINI SASA SAIV ANAFELI MTU MMJA KUINGIA FORM 1 NAPO UYO AKUENDA KWENYE MTIANI,IVYO KUFIKA MWAKA 2013 NAKUMBUKA NILIKUA SANGU SECONDARY FORM 5 NAANZA WAHITIMU WALISHAKUA WENGI SANA IVYO KUFIKA 2015 HALI ILIKUA TETE TUNAKUJA KUMALIZA 2018 CHUO NDIO HALI MBAYA ZAIDI ,SOLUTION NI KUPUNGUZA WATU WANAINGIA FORM 1 NK NAPO NI NGUMU MANA WANAKUA WADOGO SANA IVYO KUENDELEA KUKUA KIAKILI WAKIFIKA 4M4 AFADHALI... DAWA NI KUFUNDISHA MASOMO YA KUJITEGEMEA NA WANAOTAKIWA KUWA WATUMISHI WA SELIKALI WAWE WANABANWA SANA KWENYE UFAULU.NADHANI NDIO SOLUTION.NA SISI TULIOMALIZA CHUO KIKUU MPKA SAIV MTU UNAMIAKA M3 AU ZAIDI MTAANI UNAWAZAJE AJIRA .TUPAMBANE MAZEEE,TUPAMBANE NDIO DAWA IYO .WENGINE ATA VYETI ATUJACHUKUA TUPO TOWN TUNAKOMAA TU NA ATUJATOKA FAMILIA NZURI
 
Nimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,

uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?

Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbona Kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?

sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu

kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017

upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana
Mkuu mi nimeishia kidato cha nne lakini nimejiajili.
Sometime inauma sana unakuta unaenda mpaka chuo alafu unalialia ajira alafu ukigeuka unakuta mtu pembeni aliishia la saba tu akafanya welding mpaka mpaka mwisho wa siku ana workshop yake safi anakula hela lakini kuna msomi tena wa chuo yuko nyumbani mwaka wa 5 sasa hajui afanye nini anasubili ajira..!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,

uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?

Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbona Kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?

sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu

kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017

upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana
Kuna mtoto wa rafiki yangu aliniambia kwa machozi jana, kuwa kuna rafiki yake amepata lakini ilibidi mumewe (wa huyo aliyepata) ilibidi atoe milioni moja ili kuhakikishiwa jina la mke wake kuwepo. Sasa nyie endeleeni kusikiliza kelele za Ummy na bosi wake. Tafuteni hela vijana. Nimeamua kujipanga wanangu wakimaliza elimu wasije wakaajiriwa wakasake noti
 
Nimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,

uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?

Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbona Kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?

sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu

kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017

upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana
1624803914567.png
 
Nimejisikia kukata tamaa sana, haiwezekani mtu umehitimu 2016 unaachwa wanakuja kuajiliwa watu wa 2018 wakati hata vigezo hakuzidi nyote mna vyeti nyote mmefaulu,

uchambuzi gani huo uchaambuzi uchwara mlioutumia?

Magufuli ulaaniwe popote pale ulipo wewe ndiye chanzo, mbona Kikwete alikua anaajiri waalimu wote waliohitimu?

sikupendi magufuli na hata sitakupenda umetutia umaskini mtupu

kwanini kigezo kisiwe mwaka wa kuhitimu? wajjiri 2015 wakiisha wafate 2016 wakiisha wafate 2017

upuuzi mtupu endeleeni kuneemeka sisis tusote mtaani bhana
Nawaza kufungua shule na kituo cha afya
 
Back
Top Bottom