Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Kiukweli mimi ni shabiki wa damu wa dokii tangu enzi na enzi ,ila kwa hili la sasa la kusaini kwa hawa watafuta kiki (Timamu Comedians ) aisee nimemshusha vyeo sana
Dokii ana jina kubwa sana so alipoenda kujiunga na hivi vitoto amejishusha hadhi sana ,maana kwa pale Star wao ni Ebitoke hao wengine wanaonekana si lolote wala si chochote na ndio maana wakaanzisha hiyo " Ebitoke in da house"
Dokii alifiti sana kipindi kile ana igiza zile muvi na wale wabongo wanaoishi South Africa
Walitoa muvi nyingi sana na kila muvi ilibamba ile mbaya na ilikuwa haichoshi kutazama ,kama ile ya " Money Transfer" na nyinginezo
So kama shabiki ninavyoona afanye juu chini ajitoe kwenye hilo kundi halitampeleka kokote zaidi na zaidi hao vijana watatumia jina lake ili wajitangaze na yeye hatopiga hatua yoyote ile
Dokii ana jina kubwa sana so alipoenda kujiunga na hivi vitoto amejishusha hadhi sana ,maana kwa pale Star wao ni Ebitoke hao wengine wanaonekana si lolote wala si chochote na ndio maana wakaanzisha hiyo " Ebitoke in da house"
Dokii alifiti sana kipindi kile ana igiza zile muvi na wale wabongo wanaoishi South Africa
Walitoa muvi nyingi sana na kila muvi ilibamba ile mbaya na ilikuwa haichoshi kutazama ,kama ile ya " Money Transfer" na nyinginezo
So kama shabiki ninavyoona afanye juu chini ajitoe kwenye hilo kundi halitampeleka kokote zaidi na zaidi hao vijana watatumia jina lake ili wajitangaze na yeye hatopiga hatua yoyote ile