Nimechukia sana suala la Dokii kusaini Timamu African Media

Nimechukia sana suala la Dokii kusaini Timamu African Media

ulimpa mchongo mwingine wa maana akakataa au unajipngelea tu
 
hamna nadhani italisaidia kundi swala hapo ni maslahi
Dokii anakuwa.kama staa ambaye ataenda kuamsha kundi zaid.
halaf kwa usawa huu mtu akipata kazi yoyote ianyo muongezea hata buku yafaa afanye.
mi nao ni kama wote wawili watafaidika Dokii atarud kuonekana zaid kwenye tasnia yake na hao madogo watapata kufahamika zaid na kujenga majina
Kabisa
 
Mkuu! kumbuka kuwa mficha maradhi kifo humuumbua.Wewe unaangalia jina kubwa mwenzako anaangalia mkwanja mrefu.



My take: hakuna faida yoyote kuwa na jina kubwa katika tasinia ya sanaa.ikiwa halikuingizii kipato.
 
Jina kubwa mfukoni hata mia mbovu huna.....si bora utafute popote pale ujiegeshe uendelee kupata hizo hizo mia mia
 
Back
Top Bottom