Nimechungulia mahali Yanga anapigwa 3-0

Nimechungulia mahali Yanga anapigwa 3-0

Mleta uzi ndani kabisa ya nafsi yake anajua atakayefungwa ni nani
 
Yanga ipo on fire🔥🔥🔥 Yanga imeiva kuwa na kikosi kama hiki ni kama ndoto Wana Yanga kwa muda mrefu walihitaji kuwa na timu kama hii iliyosheheni wachezaji sahihi katika Kila idara pia Ina wachezaji Bora wa kuingia sub.

Inachofanya Simba ni propaganda tu na inajiandaa kuikamia mechi lakini uwezo wa timu ya Simba mpaka sasa umeshaonekana na udhaifu wao umeshaoneka Moja ya udhaifu mkubwa walionao timu ya Simba bado kikosi Chao cha kwanza kina mapengo ya ubora.

Beki yao tegemeo chemalone akipewa presha ana kawaida ya kufanya makosa mengi inayogharimu timu, Mutale mpaka sasa ameonyesha kuwa mbinafsi na msaada hafifu kwa kiungo na washambuliaji wenzake.

Kiungo tegemeo Debora pumzi zinakata mapema pia Debora ni mzuri zaidi mwenye kiungo ukabaji na kutawala dimba lakini hajawa bingwa wa kuichezesha safu ya ushambuliaji mipira yake mingi hurudisha kwa mabeki naye akipewa presha hutoa pasi fyongo pia Simba kwa ujamla haina kikosi kipana kama Yanga.

Yanga kesho inatakiwa iingie na moto wake ule ule , safu ya ulinzi ipo imara ,viungo vya kutosha ,washambuliaji hatari ,muunganiko wa Yanga unaenda kuipiga Simba Kwa mara ya nne mfululizo hakuna kuwaonea huruma maana Simba Bado ana kichaka cha ushindi wa 6-0 aliomfunga Yanga mwaka 1975 wanatamba na rekodi hiyo mpaka Leo pia Wana kichaka cha rank no 7 CAF hivyo dawa yao ni kuwachapa tena kipigo Cha nne mfufulizo hata mechi ya marudiano NBC league waje kupigwa tena kipigo cha tano mfululizo.
 
Yanga ipo on fire🔥🔥🔥 Yanga imeiva kuwa na kikosi kama hiki ni kama ndoto Wana Yanga kwa muda mrefu walihitaji kuwa na timu kama hii iliyosheheni wachezaji sahihi katika Kila idara pia Ina wachezaji Bora wa kuingia sub.

Inachofanya Simba ni propaganda tu na inajiandaa kuikamia mechi lakini uwezo wa timu ya Simba mpaka sasa umeshaonekana na udhaifu wao umeshaoneka Moja ya udhaifu mkubwa walionao timu ya Simba bado kikosi Chao cha kwanza kina mapengo ya ubora.

Beki yao tegemeo chemalone akipewa presha ana kawaida ya kufanya makosa mengi inayogharimu timu, Mutale mpaka sasa ameonyesha kuwa mbinafsi na msaada hafifu kwa kiungo na washambuliaji wenzake.

Kiungo tegemeo Debora pumzi zinakata mapema pia Debora ni mzuri zaidi mwenye kiungo ukabaji na kutawala dimba lakini hajawa bingwa wa kuichezesha safu ya ushambuliaji mipira yake mingi hurudisha kwa mabeki naye akipewa presha hutoa pasi fyongo pia Simba kwa ujamla haina kikosi kipana kama Yanga.

Yanga kesho inatakiwa iingie na moto wake ule ule , safu ya ulinzi ipo imara ,viungo vya kutosha ,washambuliaji hatari ,muunganiko wa Yanga unaenda kuipiga Simba Kwa mara ya nne mfululizo hakuna kuwaonea huruma maana Simba Bado ana kichaka cha ushindi wa 6-0 aliomfunga Yanga mwaka 1975 wanatamba na rekodi hiyo mpaka Leo pia Wana kichaka cha rank no 7 CAF hivyo dawa yao ni kuwachapa tena kipigo Cha nne mfufulizo hata mechi ya marudiano NBC league waje kupigwa tena kipigo cha tano mfululizo.
Kesho kuna mtu atasahau njia ya kurudi nyumbani nakuambia.
 
Kesho kuna mtu atasahau njia ya kurudi nyumbani nakuambia.
Atakaye haribu mpira kesho ni refa Kayoko na maraismen wake ,Kayoko ni mnazi wa Simba na hafichi mahaba yake kwa wachezaji wa Simba.

Kayoko kajiandaa kwenda Kukataa magoli ya Yanga watakayomfunga Simba,Kayoko kajiandaa kutoa kadi kwa wachezaji muhimu wa Yanga,Kayoko atapiga filimbi nyingi za offside za washambuliaji wa Yanga akisaidiana na linesmen wake wanazi kama yeye, waneshafanya mara kadhaa hata kesho watarudia Tena na zaidi atawatafutia Simba hata penati mradi tu aikomoe Yanga .

Huyu Kayoko hata CAF wanamjua ndio maana hawamwiti kuchezesha mechi za CAF hata kozi ya VAR iliyoandaliwa na CAF Kayoko hakuitwa anaendekeza Ushabiki na kupenda bahasha ,anatuharibia mpira wetu akishirikiana pia anajiharibia mwenyewe na Moja ya vitu TFF vya ovyo ni kuendekeza vitu vya namna hii , Karia ni kiingozi mzuri lakini tatizo lake kuu ni unazi kuongoza TFF huku akiweka mbele ushabiki kwa timu azipendazo sifa mbaya kabisa kwa kiongozi.
 
Back
Top Bottom