MPANGAPANGA
Member
- Sep 11, 2024
- 82
- 103
Kayoko apende achukie hana jinsiYanga 7 Simba 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kayoko apende achukie hana jinsiYanga 7 Simba 1
SahihiNipo nje ya mji hapa .
Nimechungulia mahali .
Yanga anazabuliwa 3-0.
Naona tayari mshaanza kutafuta sababu.Atakaye haribu mpira kesho ni refa Kayoko na maraismen wake ,Kayoko ni mnazi wa Simba na hafichi mahaba yake kwa wachezaji wa Simba.
Kayoko kajiandaa kwenda Kukataa magoli ya Yanga watakayomfunga Simba,Kayoko kajiandaa kutoa kadi kwa wachezaji muhimu wa Yanga,Kayoko atapiga filimbi nyingi za offside za washambuliaji wa Yanga akisaidiana na linesmen wake wanazi kama yeye, waneshafanya mara kadhaa hata kesho watarudia Tena na zaidi atawatafutia Simba hata penati mradi tu aikomoe Yanga .
Huyu Kayoko hata CAF wanamjua ndio maana hawamwiti kuchezesha mechi za CAF hata kozi ya VAR iliyoandaliwa na CAF Kayoko hakuitwa anaendekeza Ushabiki na kupenda bahasha ,anatuharibia mpira wetu akishirikiana pia anajiharibia mwenyewe na Moja ya vitu TFF vya ovyo ni kuendekeza vitu vya namna hii , Karia ni kiingozi mzuri lakini tatizo lake kuu ni unazi kuongoza TFF huku akiweka mbele ushabiki kwa timu azipendazo sifa mbaya kabisa kwa kiongozi.
Ndio ukweli wenyewe rekodi za Kayoko chuki kwa Yanga zipo wazi hata hao malinesmen Wana rekodi za kuitendea hiana Yanga , hata Karia inajulikana ni shabiki wa Simba na timu ya mkoani kwake coastal kiongozi wa ajabu sana huyu aina ya akina motsepe wa CAF na mamelod yake lakini Yanga kwa mpira wake wa Sasa ina uwezo wa kucheza dhidi ya hila hizo na itaibuka na ushindi tuNaona tayari mshaanza kutafuta sababu.
Je kesho wataruka ukuta au watapita mlango wa uwani,ama watachimbia mikaa magolini waliyopewa na aliyejinasibu anatoka sumbawanga.?Nipo nje ya mji hapa .
Nimechungulia mahali .
Yanga anazabuliwa 3-0.
zile 5 mvua ilinyesha piaMvua imenyesha ni dalili
kwa timu ngani na kocha yupi?Nipo nje ya mji hapa .
Nimechungulia mahali .
Yanga anazabuliwa 3-0.
Vipi, ngapi ngapi mkuu?Nipo nje ya mji hapa .
Nimechungulia mahali .
Yanga anazabuliwa 3-0.
Tatizo kipa wenu anamuiga diarra, sa ule mpira ulikua unatoka kaurukia wa nini?Tatizo refa.