Nimedaiwa mtandaoni ikiwa bado siku moja ya kufanya marejesho

Nimedaiwa mtandaoni ikiwa bado siku moja ya kufanya marejesho

Paul dybala

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2023
Posts
524
Reaction score
2,097
Iko hivi siku sita zilizopita nilikopa li ten mtandaoni, basi kwenye app yao wanaonesha kwamba kesho ambayo ni tarehe 16 mwezi huu wa nane iwe ndio mwisho wa kulipa pesa yao. Cha kushangaza nimekuwa nikipokea simu na vitisho za kulipa deni Lao.

Nilipohoji kuwa mbona siku bado hata hivo ni kesho wakakata simu nakuwatumia meseji nyingi sana wazamini wangu, zingine za kudhalilisha.

Je naweza kuwashitaki?
 
Iko hivi ...siku sita zilizopita nilikopa li ten mtandaoni,...bhasi kwenye app yao wanaonesha kwamba kesho ambayo ni tarehe 16 mwezi huu wa nane iwe ndio mwisho wa kulipa pesa yao...chakushangaza nimekuwa nikipokea simu na vitisho za kulipa deni Lao.
Nilipohoji kuwa mbona siku bado hata hivo ni kesho wakakata simu nakuwatumia meseji nyingi sana wazamini wangu...zingine za kudhalilisha...je naweza kuwashitaki?piga
Piga block kotekote

USSR
 
Hahahha.

Hivi unawekaje wadhamini wa maana ?

Tafuta namba yoyote isiyopatikana jweke kam wadhamini ili ikitokea wana misbehave wasiharibu utu wako.

Wewe andika baa mkwe kama mdhamini kumbe ni namba ya muuza viatu kariakoo,kila wakipiga simu kwa mdhamini wanasikiaaa kelel tuu "BEI YAKE AFU KUMIIIIII,AFU KUMI BEI YAKEEEEEE"
 
Iko hivi ...siku sita zilizopita nilikopa li ten mtandaoni,...bhasi kwenye app yao wanaonesha kwamba kesho ambayo ni tarehe 16 mwezi huu wa nane iwe ndio mwisho wa kulipa pesa yao...chakushangaza nimekuwa nikipokea simu na vitisho za kulipa deni Lao.

Nilipohoji kuwa mbona siku bado hata hivo ni kesho wakakata simu nakuwatumia meseji nyingi sana wazamini wangu...zingine za kudhalilisha...je naweza kuwashitaki?
Pole sana... kuwashtaki unaweza kama utajiridhisha kweli wameenda kinyume na makubaliano ya kimkataba, Kwahiyo pitia mkataba wenu unasemaje then chukua hatua.

Huwa ni wadhalilishaji sana hao jamaa, msg zitatumwa kwa watu wote walio kwenye phone book yako, Kwahiyo hadi bibi yako kule kijijini atapata habari ya kwamba mjukuu wake unadaiwa shilingi alufu kumi 😆😆😆.
 
Iko hivi ...siku sita zilizopita nilikopa li ten mtandaoni,...bhasi kwenye app yao wanaonesha kwamba kesho ambayo ni tarehe 16 mwezi huu wa nane iwe ndio mwisho wa kulipa pesa yao...chakushangaza nimekuwa nikipokea simu na vitisho za kulipa deni Lao.

Nilipohoji kuwa mbona siku bado hata hivo ni kesho wakakata simu nakuwatumia meseji nyingi sana wazamini wangu...zingine za kudhalilisha...je naweza kuwashitaki?
Kwani wewe mkuu wadhamini wako walisain wapi ili upewe hiyo hela?

Maana huku mtaani tunapata shida sana zinaingia message za kutufahamisha udhamini wetu kwa watu ambao hata hatujui tumewaona wapi!just mtu alichukua namba yangu akai-save kwa ahadi kwamba atanitafuta kwa ishu fulani basi wakiikuta kwenye simu yake tu basi namjua,hao jamaa ni wazimu.
 
Kwani wewe mkuu wadhamini wako walisain wapi ili upewe hiyo hela?

Maana huku mtaani tunapata shida sana zinaingia message za kutufahamisha udhamini wetu kwa watu ambao hata hatujui tumewaona wapi!just mtu alichukua namba yangu akai-save kwa ahadi kwamba atanitafuta kwa ishu fulani basi wakiikuta kwenye simu yake tu basi namjua,hao jamaa ni wazimu.
Mkuu,,,..nilitaka niwalipe ila wanakauli chafu sana...kama watanizalilisha zaidi sawa tu ila hela siwapi
 
Hahahha.

Hivi unawekaje wadhamini wa maana ?

Tafuta namba yoyote isiyopatikana jweke kam wadhamini ili ikitokea wana misbehave wasiharibu utu wako.

Wewe andika baa mkwe kama mdhamini kumbe ni namba ya muuza viatu kariakoo,kila wakipiga simu kwa mdhamini wanasikiaaa kelel tuu "BEI YAKE AFU KUMIIIIII,AFU KUMI BEI YAKEEEEEE"
halafu unafuta app yao! chaap una uninstall chaaap
 
Iko hivi ...siku sita zilizopita nilikopa li ten mtandaoni,...bhasi kwenye app yao wanaonesha kwamba kesho ambayo ni tarehe 16 mwezi huu wa nane iwe ndio mwisho wa kulipa pesa yao...chakushangaza nimekuwa nikipokea simu na vitisho za kulipa deni Lao.

Nilipohoji kuwa mbona siku bado hata hivo ni kesho wakakata simu nakuwatumia meseji nyingi sana wazamini wangu...zingine za kudhalilisha...je naweza kuwashitaki?
Lipa deni mkuu ..au jiandae kisaikolojia wakija ku kucholesha kwa Mama mkwe ,Baba mkwe
 
Iko hivi ...siku sita zilizopita nilikopa li ten mtandaoni,...bhasi kwenye app yao wanaonesha kwamba kesho ambayo ni tarehe 16 mwezi huu wa nane iwe ndio mwisho wa kulipa pesa yao...chakushangaza nimekuwa nikipokea simu na vitisho za kulipa deni Lao.

Nilipohoji kuwa mbona siku bado hata hivo ni kesho wakakata simu nakuwatumia meseji nyingi sana wazamini wangu...zingine za kudhalilisha...je naweza kuwashitaki?
Watumie ujumbe kuwa umekufa usiku wa kuamia leo.
 
Back
Top Bottom