hakomana sekemesekeme
JF-Expert Member
- Oct 15, 2023
- 646
- 1,568
hello my wife 😉😉Hajaomba wewe mkosa makombe. Na katika maisha yako, ombea mtu akunenee mema kama haya, Don Mungu ataniinua zaidi 🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hello my wife 😉😉Hajaomba wewe mkosa makombe. Na katika maisha yako, ombea mtu akunenee mema kama haya, Don Mungu ataniinua zaidi 🙏
Au achukue namba za simu za wizarani ama mahospitaliHahahha.
Hivi unawekaje wadhamini wa maana ?
Tafuta namba yoyote isiyopatikana jweke kam wadhamini ili ikitokea wana misbehave wasiharibu utu wako.
Wewe andika baa mkwe kama mdhamini kumbe ni namba ya muuza viatu kariakoo,kila wakipiga simu kwa mdhamini wanasikiaaa kelel tuu "BEI YAKE AFU KUMIIIIII,AFU KUMI BEI YAKEEEEEE"