Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yPole sana Mkuu sehemu nzuri ya kukopa ukiwa na vigezo ni Tigo Nivushe Plus
MKuu tigo nivushe wanaringa sana mpaka wakuapprove kwamba unaweza kukopesheka basi ni tatizo.Pole sana Mkuu sehemu nzuri ya kukopa ukiwa na vigezo ni Tigo Nivushe Plus
Ok...ila hutaenda mbinguni!Nasajili laini nyingine
Nachukua hadi laki sita huko nivushe
Kuna laini yangu niliwakopa alfu 80 basi niwazungusha kuwalipa...baada ya kuwalipa sikupata access tena ya kukopa.Nachukua hadi laki sita huko nivushe
Endelea kukopa hicho kidogo kidogo watakuwa wanakuongezea kidogo kidogo!Kuna laini yangu niliwakopa alfu 80 basi niwazungusha kuwalipa...baada ya kuwalipa sikupata access tena ya kukopa.
Now wananikopesha alfu TISA eti kwenye ile bustisha,sasa si utani huo ?
Mtu mzima asiejua hata kusolve tatizo kama hilo? Alikopa. Lini,hatujui. Kulipa kwake,hatuhusiki. 10k inamutoa povu!!naona umeshakua mtu mzima
Wapuuzi sana hao,ndio walivyo halafu cha ajabu regulators BOT wapo kimiya na rates zao sio rafiki kabisa unakuta ndani ya wiki unalipia mara mbili ya ulichokopa tofauti kabisa na kwenye matangazo yao.Iko hivi siku sita zilizopita nilikopa li ten mtandaoni, basi kwenye app yao wanaonesha kwamba kesho ambayo ni tarehe 16 mwezi huu wa nane iwe ndio mwisho wa kulipa pesa yao. Cha kushangaza nimekuwa nikipokea simu na vitisho za kulipa deni Lao.
Nilipohoji kuwa mbona siku bado hata hivo ni kesho wakakata simu nakuwatumia meseji nyingi sana wazamini wangu, zingine za kudhalilisha.
Je naweza kuwashitaki?
Pia asisahau kufuta hiyo app aliokopea maana ndo inayotoa siri zakeSawa...nafanya hivo mda huu....ni wapumbavu sana jamaa
Wewe aniombe nini? Tuna chama cha ushirika mimi nawewe? Kanywe chai akili irudi dunduka FC.Muombe Bantu Lady akuepusha na hii aibu
DonMuombe Bantu Lady akuepusha na hii aibu
Ilikuwa ten...nimewalipa 15Umekopa kiasi gani
unakopa li teni unashitaki watu😂😂😂😂 tuache umaskini..... ukiona mtu anakopa kwenye hizi app za pesa huyo hana mipango ya pesa ukipiga hesabu vizuri ten sio hela ya kukopa.... hapo un anamba zaidi ya 200 za watu ila 10k huwezi kusaidika...Iko hivi siku sita zilizopita nilikopa li ten mtandaoni, basi kwenye app yao wanaonesha kwamba kesho ambayo ni tarehe 16 mwezi huu wa nane iwe ndio mwisho wa kulipa pesa yao. Cha kushangaza nimekuwa nikipokea simu na vitisho za kulipa deni Lao.
Nilipohoji kuwa mbona siku bado hata hivo ni kesho wakakata simu nakuwatumia meseji nyingi sana wazamini wangu, zingine za kudhalilisha.
Je naweza kuwashitaki?
Anakuomba kama DonWewe aniombe nini? Tuna chama cha ushirika mimi nawewe? Kanywe chai akili irudi dunduka FC.
ukiona kitoto kibonge ujue kinaroho mbaya sanaaUsiwalipe
Hajaomba wewe mkosa makombe. Na katika maisha yako, ombea mtu akunenee mema kama haya, Don Mungu ataniinua zaidi 🙏Anakuomba kama Don