Hahahha.
Hivi unawekaje wadhamini wa maana ?
Tafuta namba yoyote isiyopatikana jweke kam wadhamini ili ikitokea wana misbehave wasiharibu utu wako.
Wewe andika baa mkwe kama mdhamini kumbe ni namba ya muuza viatu kariakoo,kila wakipiga simu kwa mdhamini wanasikiaaa kelel tuu "BEI YAKE AFU KUMIIIIII,AFU KUMI BEI YAKEEEEEE"