Nimedhulumiwa/ kutapeliwa na tajiri na sioni pa kumpeleka

Nimedhulumiwa/ kutapeliwa na tajiri na sioni pa kumpeleka

Duuu bila shaka malori yako yalipiga ruti ya songea machimboni huko
Pole Sana mkuu!

Ngoja wataalamu waje wakupe mwongozo pia nadhani serikali inafuatilia humu,watakusaidia!

Serikali ya wanyonge mkuje huku!
 
Tatizo tabia ya kupenda kujiweka karibu na wenye hela na wenye hela wenyewe tabia zao ndio kama hizo
 
Husika na mada hapo juu,

Katika harakati za utafutaji nikajikuta nimeuvaa umilionea wa ghafla msishangae jamani mambo ya machimbo, basi nilivyoipata hela nikakimbilia kununua malori ya mizigo aina ya Volvo kama sita hivi nikiwa mchanga kwenye ishu za magari.

Mungu sio John nikapata tenda kwenye kampuni fulani hivi ya kubeba makaa ya mawe ila sikutimiza vigezo maana hiyo kampuni ilikuwa ikiitaji mtu mwenye lori kuanzia kumi basi akatokea tajiri mmoja akaniambia tuingie share kwa sharti yeye awepo muhusika mkuu.

Sikuwa na pingamizi nikamkubalia kwa maana yeye alikuwa ana lori nyingi basi zikaanza kazi mwezi ukapita nikapata gawio langu ila tokea nimepata hiyo pesa sijapata tena na lori zangu zilifanyiwa kazi ndani ya miezi zaidi ya tano mpaka nilipoamua kuzisitisha na kila nikidai malipo yangu natishiwa nitawekwa pabaya na nikashitaki popote mpaka nimekata tamaa na kujilaumu kwanini nimenunua hizi gari hata bora hela yangu ningefanya starehe.

Wakuu msaada wa mawazo yenu hatua gani nichukua.

Asanteni

Kama huna mkataba nae basi umetoa sadaka!! Hata hivyo usimlazie damu ,tafuta hela kidogo funga safari nenda Sumbawanga kwa waganga wa kienyeji; wamuoteshe maziwa awe mwanamke!!! Atakutafuta!
 
Nitafute mkuu nikupeleke kwa mzee Mmoja wa kuitwa makombo ya gari, historia yake huyo mzee alipinduka na gari mara kumi na zote hajawahi hata kuchunika, yani huyo tajiri tunamtoa jipu la ulimi mchana kweupee na atakuja mwenyewe kuomba msamaha
 
Husika na mada hapo juu,

Katika harakati za utafutaji nikajikuta nimeuvaa umilionea wa ghafla msishangae jamani mambo ya machimbo, basi nilivyoipata hela nikakimbilia kununua malori ya mizigo aina ya Volvo kama sita hivi nikiwa mchanga kwenye ishu za magari.

Mungu sio John nikapata tenda kwenye kampuni fulani hivi ya kubeba makaa ya mawe ila sikutimiza vigezo maana hiyo kampuni ilikuwa ikiitaji mtu mwenye lori kuanzia kumi basi akatokea tajiri mmoja akaniambia tuingie share kwa sharti yeye awepo muhusika mkuu.

Sikuwa na pingamizi nikamkubalia kwa maana yeye alikuwa ana lori nyingi basi zikaanza kazi mwezi ukapita nikapata gawio langu ila tokea nimepata hiyo pesa sijapata tena na lori zangu zilifanyiwa kazi ndani ya miezi zaidi ya tano mpaka nilipoamua kuzisitisha na kila nikidai malipo yangu natishiwa nitawekwa pabaya na nikashitaki popote mpaka nimekata tamaa na kujilaumu kwanini nimenunua hizi gari hata bora hela yangu ningefanya starehe.

Wakuu msaada wa mawazo yenu hatua gani nichukua.

Asanteni
Wewe ni Mtaanzania?
 
Kwanza kama mlisaini contract wala sio issue kubwa ,tayar apo unapakuanzia. Kusanya evidence zako km vile weigh bridge receipts za kiwandan kila mnapo offload mzgo then mshtaki tu.

We mkomalie tu hayo mambo mengine anakutisha. Halafu mbona kazi ziko nyingi mkuu yanin uhangaike na watu wasiolipa? Km gari hazina kazi, nichek nikupe mchongo.
Raha ya JF Madon ni kama wote.
 
Husika na mada hapo juu,

Katika harakati za utafutaji nikajikuta nimeuvaa umilionea wa ghafla msishangae jamani mambo ya machimbo, basi nilivyoipata hela nikakimbilia kununua malori ya mizigo aina ya Volvo kama sita hivi nikiwa mchanga kwenye ishu za magari.

Mungu sio John nikapata tenda kwenye kampuni fulani hivi ya kubeba makaa ya mawe ila sikutimiza vigezo maana hiyo kampuni ilikuwa ikiitaji mtu mwenye lori kuanzia kumi basi akatokea tajiri mmoja akaniambia tuingie share kwa sharti yeye awepo muhusika mkuu.

Sikuwa na pingamizi nikamkubalia kwa maana yeye alikuwa ana lori nyingi basi zikaanza kazi mwezi ukapita nikapata gawio langu ila tokea nimepata hiyo pesa sijapata tena na lori zangu zilifanyiwa kazi ndani ya miezi zaidi ya tano mpaka nilipoamua kuzisitisha na kila nikidai malipo yangu natishiwa nitawekwa pabaya na nikashitaki popote mpaka nimekata tamaa na kujilaumu kwanini nimenunua hizi gari hata bora hela yangu ningefanya starehe.

Wakuu msaada wa mawazo yenu hatua gani nichukua.

Asanteni
uko wapi njoo inbox
 
Biasha
Husika na mada hapo juu,

Katika harakati za utafutaji nikajikuta nimeuvaa umilionea wa ghafla msishangae jamani mambo ya machimbo, basi nilivyoipata hela nikakimbilia kununua malori ya mizigo aina ya Volvo kama sita hivi nikiwa mchanga kwenye ishu za magari.

Mungu sio John nikapata tenda kwenye kampuni fulani hivi ya kubeba makaa ya mawe ila sikutimiza vigezo maana hiyo kampuni ilikuwa ikiitaji mtu mwenye lori kuanzia kumi basi akatokea tajiri mmoja akaniambia tuingie share kwa sharti yeye awepo muhusika mkuu.

Sikuwa na pingamizi nikamkubalia kwa maana yeye alikuwa ana lori nyingi basi zikaanza kazi mwezi ukapita nikapata gawio langu ila tokea nimepata hiyo pesa sijapata tena na lori zangu zilifanyiwa kazi ndani ya miezi zaidi ya tano mpaka nilipoamua kuzisitisha na kila nikidai malipo yangu natishiwa nitawekwa pabaya na nikashitaki popote mpaka nimekata tamaa na kujilaumu kwanini nimenunua hizi gari hata bora hela yangu ningefanya starehe.

Wakuu msaada wa mawazo yenu hatua gani nichukua.

Asanteni
Biashara kama hiyo laima watakuwa wanalipa kwenye mfumo unaoeleweka ...yaani benki...na kigezo cha muhimu kabisa kwenye partnership ni kumiliki akaunti ya pamoja wote mkiwa mna hai sawa.....sasa wewe unatueleza nini kama hata benki akaunti haikuwa ya wote?
 
Husika na mada hapo juu,

Katika harakati za utafutaji nikajikuta nimeuvaa umilionea wa ghafla msishangae jamani mambo ya machimbo, basi nilivyoipata hela nikakimbilia kununua malori ya mizigo aina ya Volvo kama sita hivi nikiwa mchanga kwenye ishu za magari.

Mungu sio John nikapata tenda kwenye kampuni fulani hivi ya kubeba makaa ya mawe ila sikutimiza vigezo maana hiyo kampuni ilikuwa ikiitaji mtu mwenye lori kuanzia kumi basi akatokea tajiri mmoja akaniambia tuingie share kwa sharti yeye awepo muhusika mkuu.

Sikuwa na pingamizi nikamkubalia kwa maana yeye alikuwa ana lori nyingi basi zikaanza kazi mwezi ukapita nikapata gawio langu ila tokea nimepata hiyo pesa sijapata tena na lori zangu zilifanyiwa kazi ndani ya miezi zaidi ya tano mpaka nilipoamua kuzisitisha na kila nikidai malipo yangu natishiwa nitawekwa pabaya na nikashitaki popote mpaka nimekata tamaa na kujilaumu kwanini nimenunua hizi gari hata bora hela yangu ningefanya starehe.

Wakuu msaada wa mawazo yenu hatua gani nichukua.

Asanteni
Samehe pesa huwa inatafutwa "dua ya mwenye kudhulumiwa hairudi mikono mitupu"
 
Back
Top Bottom