inawezekana hawajakuibia kg zote hizo [emoji848]ikiwa kama mchele ulikobolewa Bado mbichi kwa mbali Huwa unakua mzito, hivyo Baada ya kukaa Saana Huwa uzito unapungua saanaMwezi wa kwanza niliwahi nunua tani 2 kwa hao hao wauzaji wa mchele ila sikugundua maana nilivyoufikisha stoo vijana waliwahi kuuweka kwenye mifuko ya kinga njaa kwahiyo sikupata nafasi ya kupima kila kiroba.
Leo nimeenda nikachukua viroba vitano vya kilo mia mia,nimefika stoo nimevipima nikakuta kila kiroba kina kilo 80
Sasa nataka niwakomeshe hawa watu ili waache kuwaibia watu,naomba mwongozo nifanyeje,nikawashitaki wapi?,
Nimeununua leo,baada ya masaa mawili ndo nimeupima kwa kutumia mzani wa digitalinawezekana hawajakuibia kg zote hizo [emoji848]ikiwa kama mchele ulikobolewa Bado mbichi kwa mbali Huwa unakua mzito, hivyo Baada ya kukaa Saana Huwa uzito unapungua saana
Wawekeen mtego na mawakala wa vipimo halafu mwisho wa siku wakulipe fidia walizoziiba.Mwezi wa kwanza niliwahi nunua tani 2 kwa hao hao wauzaji wa mchele ila sikugundua maana nilivyoufikisha stoo vijana waliwahi kuuweka kwenye mifuko ya kinga njaa kwahiyo sikupata nafasi ya kupima kila kiroba.
Leo nimeenda nikachukua viroba vitano vya kilo mia mia,nimefika stoo nimevipima nikakuta kila kiroba kina kilo 80
Sasa nataka niwakomeshe hawa watu ili waache kuwaibia watu,naomba mwongozo nifanyeje,nikawashitaki wapi?,
Ni umbali wa km 30 toka nilipoununua nataka nipate wakunisaidia ndo nilikuwa nataka nipate mwongozo niende na polisi au na kina nani,nataka nikanunue mwingineHao sio wezi ni majambazi mm nimeelewa wamekwiba kg 100 nzima Duuu. kwenye gunia 5 wamechukua kilo 20× 5 = 100 Alafu umekaaa nazo hizo gunia aaaaah aisee mm ningerudisha mda huohuo wanataka super super profit
Mkuu next time hakikisha unakuwa na wakili ili aandae mkataba wa manunuzi kwani siku hizi utapeli ni speed ya Formula oneMwezi wa kwanza niliwahi nunua tani 2 kwa hao hao wauzaji wa mchele ila sikugundua maana nilivyoufikisha stoo vijana waliwahi kuuweka kwenye mifuko ya kinga njaa kwahiyo sikupata nafasi ya kupima kila kiroba.
Leo nimeenda nikachukua viroba vitano vya kilo mia mia,nimefika stoo nimevipima nikakuta kila kiroba kina kilo 80
Sasa nataka niwakomeshe hawa watu ili waache kuwaibia watu,naomba mwongozo nifanyeje,nikawashitaki wapi?,