Nimeenda kununua hizi Mali ,nikaingia nazo kwenye dalala aisee Nikasikia wanaanza kusali🤣🤣😂😅😆

Nimeenda kununua hizi Mali ,nikaingia nazo kwenye dalala aisee Nikasikia wanaanza kusali🤣🤣😂😅😆

Dogoli kinyamkela

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2024
Posts
618
Reaction score
1,440
Nimeenda kununua hizi Mali ,nikaingia nazo kwenye dalala aisee

Nikasikia wanaanza kusali🤣🤣😂😅😆
1737584250562.jpg
1737584253447.jpg
1737584257895.jpg

Kisha wakamwambia konda anishushe,eti Mimi sio mtu WA kawaida

Jamani weusi wenzangu acheni ushamba WA vitu vya mzungu

Ungo KWA ajili ya kupepetea mchele

Tunguli KWA ajili ya kunywea maji

Chungu cha kupikia maharage
 
Nimeenda kununua hizi Mali ,nikaingia nazo kwenye dalala aisee

Nikasikia wanaanza kusali🤣🤣😂😅😆
View attachment 3210560View attachment 3210561View attachment 3210562
Kisha wakamwambia konda anishushe,eti Mimi sio mtu WA kawaida

Jamani weusi wenzangu acheni ushamba WA vitu vya mzungu

Ungo KWA ajili ya kupepetea mchele

Tunguli KWA ajili ya kunywea maji

Chungu cha kupikia maharage
Chai ya kitoto. Hakuna cha kushangaza hapo. Umechemka hujui kutunga.
 
Back
Top Bottom