DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
- Thread starter
- #21
Chip ya ofisi ama?Nitajikita baadae mama, sina bando la wasiwasiView attachment 3000862
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chip ya ofisi ama?Nitajikita baadae mama, sina bando la wasiwasiView attachment 3000862
kila kitu kipo wazi mtoto chini ya miaka 10 cheti cha kuzaliwa ni elf 8 zaidi ya miaka 10 ni elf 20 utalipia kupitia control namba online ukisajiliwa pale rita ofisini, lakini kama nikupitia internet cafe mtaelewana na mhusika siyo suala la serikali maana wa internet cafe anabei yake ya kufanya online registration maana nayeye mwisho wa siku atalipa kodi na mapato mengine kama ofisi yake niya biasharaHakuna kitu kinauma kama kugundua kwamba ulipigwa kwenye biashara or whatever regardless ni pesa kiasi gani pia hakuna kitu kibaya kama kutaka kumuibia mtu ambaye anajua actual amount kwahio ukiona dalili za kutapeliwa shituka...
Wewe pia akili zako ni kama za Huyo mla rrushwa.Wilaya moja kusini kusini huku
Njombe japo haikua lengo la uzi boss ila umenishambulia mpaka nikahisi ni vita?Wewe pia akili zako ni kama za Huyo mla rrushwa.!
Una ficha ficha nini eti Wilaya Moja kusini huku.
Weka mambo hadharani umma uwatambue vinginevyo ni unafk tu.
Hio ni rita njombe mkuu ofisini kwao na wala sio internet cafekila kitu kipo wazi mtoto chini ya miaka 10 cheti cha kuzaliwa ni elf 8 zaidi ya miaka 10 ni elf 20 utalipia kupitia control namba online ukisajiliwa pale rita ofisini,lakini kama nikupitia internet cafe mtaelewana na mhusika siyo suala la serikali maana wa internet cafe anabei yake ya kufanya online registration maana nayeye mwisho wa siku atalipa kodi na mapato mengine kama ofisi yake niya biashara
Personal boss..Chip ya ofisi ama?
Wilaya ipi mkuu?Hio ni rita njombe mkuu ofisini kwao na wala sio internet cafe
Taja Hiyo Wilaya ChapWilaya moja kusini kusini huku
Nimeionakindly check your pm