afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,150
- 9,255
Am in love love love am in love with a dj....am in loveee.....by yvone machaka
i love that song too.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Am in love love love am in love with a dj....am in loveee.....by yvone machaka
i love that song too.....
MAASHAALLAH Ana B hibbak!
nirudishe shule ndugu yangu... Sijakupata kabisa... Lol
acha uvivu google hilo neno!
Je yeye kaiona hiyo sura yako na dental formular yako?
Je yeye kaiona hiyo sura yako na dental formular yako?
kumpenda mtu ambaye hujamuona si tatizo, na pia inawezekana sana kumpenda mtu ambaye hujamuona wala si upungufu wa akili, je ni ndoa ngapi ambazo zimefungwa na watu wanaishi ambao hawakujuana kabla? (mambo ya mtandao). lakini nakushauri kitu kimoja Smasher, cool down,tafutaneni kutaneni, moyo wako una macho utakueleza kama kweli unampenda au lah, mm ninao marafiki wengi ambao sikuwajua kabla na wamenisaidia mambo mengi sana. Nakutia moyo inawezekana.
Ni miezi 3 sasa tupo katika uhusiano na mpenzi wangu.
Ukweli ni kwamba sijawahi kupenda ingawa nilishawahi kuwa kwenye relation bt now nimepatikana coz nahisi upendo wa dhati kwa binti mmoja ambaye 2mejuana nae kwa 4ne so in short cjawahi kutana nae wala picha yake.
Pls advise me is this true LOVE or hii hali inatokea coz ha2jamit nae?
Ni miezi 3 sasa tupo katika uhusiano na mpenzi wangu.
Ukweli ni kwamba sijawahi kupenda ingawa nilishawahi kuwa kwenye relation bt now nimepatikana coz nahisi upendo wa dhati kwa binti mmoja ambaye 2mejuana nae kwa 4ne so in short cjawahi kutana nae wala picha yake.
Pls advise me is this true LOVE or hii hali inatokea coz ha2jamit nae?
kwa kweli asante sana...
kei te aroha au i a koe.
hivi kweli kuna msichana ambaye si mrembo kweye simu...
hata mimi naweza kujisifia ile mbaya....
tena anayejisifia sana ndo muogope ......
mi ninachoona usiweke matumaini yako juu sana kabla huja mwona...
mwambie akutumie picha ...
lakini ndo kama unategemea kumuoa huyo lazima umuone huyo.......(usije ukaoa jini lol)
I deMAnd an interpretation...ASAP:embarrassed:
MMh! ni possible huh! mbona mimi nili fall in love na Afrodenz hata sauti yake sikuisikia ! lol!!:lol:
The beauty is in the eye of....wakinana demu anaweza kuingia mitini hapo lol!