CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Aiseeeee!!!
<br />
<br />
Hahahaaa! Hiyo ngumu banaa... Kwanza huwa nahisi kama wadada hapa ni super mkomao (wakubwa kiumri) Pili, hapa ukijipendekeza unaweza kujikuta unamtokea dadaako wa damu au dume mwenzako!!! Umri ukiruhusu nitajilipua 'mitaani'.
<br />Asha d.. nawe hunisuuza....
<br />Umeniudhi hapo tu, maelezo mengine nimekukubali
<br /><br />he thinks he is very irresistible... sijui hao wanawake anaowaongelea ni vimeo vya pande zipi? well, we tend to atract the same kind of trouble,lol<br /><br />
<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
mbona umeanza kana kwamba ni mmoja halafu unakuja kuwataja wawili? Be serious man, maana hapo sijui watakueleweje!!!???
The truth shall set you free
Kwanini UNAMUWEKEA urasimu ??? Mjibu YES OR NO.duhhhh
Data asante..
mmmhh
sina la kusema kwa sasa...
Nipe muda ni meze hili tonge kwanza....
Ni kweli au anaweza kukuta wote midume kama yeye!!!!!!!!!!!!kuna dalili wote wakamkataa
he is somehow jocking kwa kuwataja wawili au ndo mateknik wakuu?
Fanya ku PM alafu badilishaneni namba inakua fresh onyo usiwe unampango wakumchezea uwe na mpango wakuoa
<br />Kwanini UNAMUWEKEA urasimu ??? Mjibu YES OR NO.
Ahsante kwa kuliona hilo mkuu, labda Mwanaj1 atabadili mawazoHiyo pass imekuja kwako...mbona badala ya kufunga bao unataka kupaisha huo mpira au kuna mtu yuko usawa wa goli zaidi yako? Ni nani huyo??
Wacha nife na tai yangu shingonimbona wewe unakufa na tai yako shingoni? watu kwa kudanganyana....!
Naona umeziamulia nyuzi za zamani zote unazifufuaFunguka tu mkuu hamna namna