Nimefall kwa bibie humu JF...

Nimefall kwa bibie humu JF...

Aiseeeee!!!


Vp, ni ajabu? Au huamini?
Nilishachoka hata kumtania mtu, maana wengi wao huwa wanadhani namaanisha - ukionesha hauna mpango unamfanya ajisikie vibaya, so huwa sijaribu kabisa kugusia masuala hayo!
 
Fanya ku PM alafu badilishaneni namba inakua fresh onyo usiwe unampango wakumchezea uwe na mpango wakuoa
 
Du hongera mkuu, wenzio hata tukitupa ndoano hatupati we m pm ila uwe mkweli tu.
 
<br />
<br />
Hahahaaa! Hiyo ngumu banaa... Kwanza huwa nahisi kama wadada hapa ni super mkomao (wakubwa kiumri) Pili, hapa ukijipendekeza unaweza kujikuta unamtokea dadaako wa damu au dume mwenzako!!! Umri ukiruhusu nitajilipua 'mitaani'.

Mkuu hapa umenichekesha sana, ina maana kuna watu madume humu JF wenye avatars za kike?
 
he thinks he is very irresistible... sijui hao wanawake anaowaongelea ni vimeo vya pande zipi? well, we tend to atract the same kind of trouble,lol

Umeniudhi hapo tu, maelezo mengine nimekukubali
<br />
<br />
 
he thinks he is very irresistible... sijui hao wanawake anaowaongelea ni vimeo vya pande zipi? well, we tend to atract the same kind of trouble,lol&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
And you (women) never seem to learn your lesson. Sometimes i think you deserve to be victim of the final outcome.
 
<br />
<br />

mbona umeanza kana kwamba ni mmoja halafu unakuja kuwataja wawili? Be serious man, maana hapo sijui watakueleweje!!!???

kuna dalili wote wakamkataa
he is somehow jocking kwa kuwataja wawili au ndo mateknik wakuu?
 
kuna dalili wote wakamkataa
he is somehow jocking kwa kuwataja wawili au ndo mateknik wakuu?
Ni kweli au anaweza kukuta wote midume kama yeye!!!!!!!!!!!!
Ila kama ni wanawake poa tu kukataliwa ni jambo la kawaida.
 
Mkuu kukataliwa na wasichana kunakupa experience na
ujasiri wa kuwatokea na kujua wapi unakosea naufanye nini!
Yanazungumzika. Ila usimtaje hapa mkuu.
 
Back
Top Bottom