Nimefall kwa bibie humu JF...

Nimefall kwa bibie humu JF...

mueleze kama unapenda mchango wake katika JF,na anakumalizaaaaaaaaaa sanaaaaaaaaaaaa......,Je uko tayari kumuona hata kama sura yake inafanana na Avatar ya First Born? sababu lazma ukubali hali utakayo mkuta nayo.
 
Kuna bibie humu JF.. nimejikuta tu.. nimempenda.. hii ni kutokana na michango yake.. anavyojiamini anapotoa hoja...ana msimamo... na husimamia anachokisema... naomba ushauri... naogopa kumtaja... nahofia endapo atakuja na Negative Response(mtizamo hasi)....

kama waogopa kumtaja basi nami naogopa kukushauri..................lakini chunga asije kuwa ni mke wa mtu.............................
 
mueleze kama unapenda mchango wake katika JF,na anakumalizaaaaaaaaaa sanaaaaaaaaaaaa......,Je uko tayari kumuona hata kama sura yake inafanana na Avatar ya First Born? sababu lazma ukubali hali utakayo mkuta nayo.


.......usijekuta kakuzimia weye.....
 
Kuna bibie humu JF.. nimejikuta tu.. nimempenda.. hii ni kutokana na michango yake.. anavyojiamini anapotoa hoja...ana msimamo... na husimamia anachokisema... naomba ushauri... naogopa kumtaja... nahofia endapo atakuja na Negative Response(mtizamo hasi)....

Na mie Naweka wazi.. ni AFRODENZI.... na ROSE 1980... I lurv them... natamani nikutane nao.. Naomba wani PM.. Let them give a gud response P'se... Natamani niongee nao ktk simu...

Umejichanganya kijana mara kuna mmoja mara unataja watu wawili ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
 
Umejichanganya kijana mara kuna mmoja mara unataja watu wawili ukiwa muongo uwe na kumbukumbu

Pamoja na kuchakachua idadi...kweli ulihitaji masaa 24 kuwataja Rose na AD?

Kwa mahesabu hayo utahitajia miaka mingapi kuombe mtoke out kupata juice ya Azam???
 
Dena Amsi ulitaka nikutaje na wewe... bahati si yako... Niwaomba wani PM.. sasa wewe waingilia nin?
 
Back
Top Bottom