Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,252
- 2,253
Kongole kwako mkuu, sisi tunajitahidi kuacha supu na chapati mbili lakini wapi tumeshindwaMwaka 2017 nikiwa chuoni niliamua kuacha kunywa soda na soft drinks zingine baada ya kupima sukari na kukuta ikiwa juu kiasi.
Sasa imetimia miaka 4 bila kunywa na nimezoea kabisa.Najisi kuwa na afya njema sana na wala sitamani zaidi ya kuwaonea huruma wanaotumia. Asante Mungu!
Nipo kwenye hatua hiyo pia nami.Mwaka 2017 nikiwa chuoni niliamua kuacha kunywa soda na soft drinks zingine baada ya kupima sukari na kukuta ikiwa juu kiasi.
Sasa imetimia miaka 4 bila kunywa na nimezoea kabisa.Najisi kuwa na afya njema sana na wala sitamani zaidi ya kuwaonea huruma wanaotumia. Asante Mungu!
You can't be serious ati kuacha soda ni zoezi gumu..😂Mimi nimepunguza kwa kiasi kikubwa sana ila bado sijaweza kuacha kabisa. Wacha niongeze juhudi.
Mwaka 2017 nikiwa chuoni niliamua kuacha kunywa soda na soft drinks zingine baada ya kupima sukari na kukuta ikiwa juu kiasi.
Sasa imetimia miaka 4 bila kunywa na nimezoea kabisa.Najisi kuwa na afya njema sana na wala sitamani zaidi ya kuwaonea huruma wanaotumia. Asante Mungu!
Hahaaa.. sasa na wewe grand malt si ni soda tu ile? Mimi nimepambana sana mkuu nilianza kuacha sigara, nikaja nikaacha pombe na sasa niko kwenye mkakati wa kuacha kabisa soda.You can't be serious ati kuacha soda ni zoezi gumu..😂
Hichi mbona kitu rahisi sana,mkuu Kama kuacha soda mpk upambane vipi uraibu wa pombe je..? Punyeto vipi..?
Mkuu jitahidi uache aisee mi kinywaji Cha kiwandani nilichobakiza sahivi ni grand malt hii sidhani Kama nitaiacha japo huwa siinywi Mara kwa Mara..😅
Soda sinywi juice ya kutengeneza nyumbani nakunywa ambayo haina sukari ...pepo limebaki kwenye gambee hii kitu kuacha nimeshindwa acha niendelee kunywaHahaaa.. sasa na wewe grand malt si ni soda tu ile? Mimi nimepambana sana mkuu nilianza kuacha sigara, nikaja nikaacha pombe na sasa niko kwenye mkakati wa kuacha kabisa soda.
Hicho ndo kinywaji natakanibakize!Hahaaa.. sasa na wewe grand malt si ni soda tu ile? Mimi nimepambana sana mkuu nilianza kuacha sigara, nikaja nikaacha pombe na sasa niko kwenye mkakati wa kuacha kabisa soda.
Nyama, Maziwa, mayai, samaki havina madhara kwenye miili yetu. Kuna madokta feki kina Ndodi walitudanganya sana.Mimi nimeacha mwezi huu na nyama pia nimeacha