Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwamba umefilisikaMimi nimeacha mwezi huu na nyama pia nimeacha
Dada kitambi mchuchumio ndio kipoje? HahaaMi nna kitambi flani hivi kitambi mchuchumio kinanikera....sijui hata nikifanye nini 😔
Napambana....😁Mkuu pambana hata kwa mazoezi ukitoe aisee. Hakuna kitu kinaharibu muonekano wa mwanamke kama kitambi. Na sijui ni kwanini kadri kitambi kinavyonawiri na huko nyuma ndio kunasinyaa? 😄
Dada kitambi mchuchumio ndio kipoje? Hahaa
Kuna soda zimetengenezwa kwa wenye tatizo la sukarMwaka 2017 nikiwa chuoni niliamua kuacha kunywa soda na soft drinks zingine baada ya kupima sukari na kukuta ikiwa juu kiasi.
Sasa imetimia miaka 4 bila kunywa na nimezoea kabisa. Najisi kuwa na afya njema sana na wala sitamani zaidi ya kuwaonea huruma wanaotumia. Asante Mungu!
Kitambi mchuchumio[emoji23] khee! hii ni toleo jipya nadhani.Mi nna kitambi flani hivi kitambi mchuchumio kinanikera....sijui hata nikifanye nini [emoji17]
Depal hicho ni toleo jipya bado kuingia mitaani[emoji23]Dada kitambi mchuchumio ndio kipoje? Hahaa
Swala sio kutokufuta( kifo hakipingiki).Unajua nini mkuu.... Bado utakufa tu.[emoji23]
Mbinu gani unatumia KULA PEPSI ....Pombe sinywi sigara sivuti na daso nayo nisinywe? Ungese huo hta ukiacha vyote huwez hta kuish miaka 100 life ya dunia n fup tu acha nile Pepsi
Usipokula ugali na wali utakula nini sasa ndugu yangu ?Nyama, Maziwa, mayai, samaki havina madhara kwenye miili yetu. Kuna madokta feki kina Ndodi walitudanganya sana.
Wanga (ugali na wali), soda, pombe hivi ni hatari sana kwa afya zetu.
Itakua ndio kimenichagua mimi kuwa mfano....😔Kitambi mchuchumio[emoji23] khee! hii ni toleo jipya nadhani.
Kweli mkuu ila tunatakiwa kula kwa kiasi. Ukubwa wa ugali inabidi iwe saizi ya ngumi yako. Sisi tunakula ugali mkubwa kiasi kwamba mtu aliyekaa upande wa pili humuoni. Tunakula ugali huku tumevua shati kuhakikisha ugali unaisha. Tunatakiwa tule ugali kidogo ila mbogamboga na matunda kwa wingi.
Depal hicho ni toleo jipya bado kuingia mitaani[emoji23]