Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kujizuia kula ni mtihani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimeacha nina miezi 2 sasa ila bia nakunywa[emoji23]Mwaka 2017 nikiwa chuoni niliamua kuacha kunywa soda na soft drinks zingine baada ya kupima sukari na kukuta ikiwa juu kiasi.
Sasa imetimia miaka 4 bila kunywa na nimezoea kabisa.Najisi kuwa na afya njema sana na wala sitamani zaidi ya kuwaonea huruma wanaotumia. Asante Mungu!
KweliNyama, Maziwa, mayai, samaki havina madhara kwenye miili yetu. Kuna madokta feki kina Ndodi walitudanganya sana.
Wanga (ugali na wali), soda, pombe hivi ni hatari sana kwa afya zetu.
Tatizo la mfumo wetu wa maisha hasa kwa sisi ambao muda mwingi tunakula barabarani aisee kuacha wanga ni mtihani mkubwa sana. Hebu niambie sasa asubuhi utakunywa chai na nini kama sio chapati, mkate au mandazi? Hata ukila mihogo, viazi nk bado ni wanga ule ule. Haya mchana uniambie nisile wali wala ugali, ntakula nini sasa? Kwakweli ni ngumu sana.Nyama, Maziwa, mayai, samaki havina madhara kwenye miili yetu. Kuna madokta feki kina Ndodi walitudanganya sana.
Wanga (ugali na wali), soda, pombe hivi ni hatari sana kwa afya zetu.
Kwa wadada jamani naombeni tu mjitahidi kwakweli. Maana sio kwa vitambi hivyo duuh..!!😄😄Kujizuia kula ni mtihani
Mi nna kitambi flani hivi kitambi mchuchumio kinanikera....sijui hata nikifanye nini 😔Kwa wadada jamani naombeni tu mjitahidi kwakweli. Maana sio kwa vitambi hivyo duuh..!!😄😄
Mkuu pambana hata kwa mazoezi ukitoe aisee. Hakuna kitu kinaharibu muonekano wa mwanamke kama kitambi. Na sijui ni kwanini kadri kitambi kinavyonawiri na huko nyuma ndio kunasinyaa? 😄Mi nna kitambi flani hivi kitambi mchuchumio kinanikera....sijui hata nikifanye nini 😔
Wenzio wanatafuta pesa wewe una-struggle kuacha soda. Kweli wadangaji mna tabuMwaka 2017 nikiwa chuoni niliamua kuacha kunywa soda na soft drinks zingine baada ya kupima sukari na kukuta ikiwa juu kiasi.
Sasa imetimia miaka 4 bila kunywa na nimezoea kabisa.Najisi kuwa na afya njema sana na wala sitamani zaidi ya kuwaonea huruma wanaotumia. Asante Mungu!
Kweli mkuu ila tunatakiwa kula kwa kiasi. Ukubwa wa ugali inabidi iwe saizi ya ngumi yako. Sisi tunakula ugali mkubwa kiasi kwamba mtu aliyekaa upande wa pili humuoni. Tunakula ugali huku tumevua shati kuhakikisha ugali unaisha. Tunatakiwa tule ugali kidogo ila mbogamboga na matunda kwa wingi.Tatizo la mfumo wetu wa maisha hasa kwa sisi ambao mda mwingi tunakula barabarani aisee kuacha wanga ni mtihani mkubwa sana. Hebu niambie sasa asubuhi utakunywa chai na nini kama sio chapati, mkate au mandazi? Hata ukila mihogo, viazi nk bado ni wanga ule ule. Haya mchana uniambie nisile wali wala ugali, ntakula nini sasa? Kwakweli ni ngumu sana.
Karibu kwenye mtungi sasaMwaka 2017 nikiwa chuoni niliamua kuacha kunywa soda na soft drinks zingine baada ya kupima sukari na kukuta ikiwa juu kiasi.
Sasa imetimia miaka 4 bila kunywa na nimezoea kabisa.Najisi kuwa na afya njema sana na wala sitamani zaidi ya kuwaonea huruma wanaotumia. Asante Mungu!
Kama hiki mkuu!Mi nna kitambi flani hivi kitambi mchuchumio kinanikera....sijui hata nikifanye nini [emoji17]
Nimeishia kucheka hyo profile pichaKuleni chakula chochote, nilivyokuwa mdogo nilikuwa nasikia sigara ni hatari,lakini kuna mzee mmoja jirani yetu alikuwa anavuta kinoma. Hadi sasa amekuwa kikongwe lakini anapiga fegi na sijaona madhara. Asipovuta sigara anakuwa kama mgonjwa na alisema hataiacha sigara.
Pepsi mimi nilikuwa nakunywa hata 7 per day. Pepsi ya baridi ni nzuri sana wakati wa kiangazi ile jua limekupiga. Sijapata madhara wala nini. Nyama nakula sana tu.
Sasa hapo v*zi unanyoaje?Kama hiki mkuu!View attachment 1945565
MatundaMbadala wake ni upi mzee?