NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Ponda Raha kufa kwaja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ndio tatizo lenu masukariguru, sisi wanywa makali tuna miaka hatuzijui hizo mambo za sukari, ukinipa soda naenda kwa mangi namwambia anibadilishie nipate hata maji tuMwaka 2017 nikiwa chuoni niliamua kuacha kunywa soda na soft drinks zingine baada ya kupima sukari na kukuta ikiwa juu kiasi.
Sasa imetimia miaka 4 bila kunywa na nimezoea kabisa. Najisi kuwa na afya njema sana na wala sitamani zaidi ya kuwaonea huruma wanaotumia. Asante Mungu!
Tangu umeacha kuna mabadiliko yeyote positive ambayo umeyaona??Mimi soda, energy drinks, juice za kopo niliacha miaka 8 iliyopita
Kwa hili tunafanana kabisaYani mimi nilijikuta tu tangu mdogo sipendi ugali kabisa. Mpaka leo na kesho kwangu huwezi kuta kitu inaitwa unga.
Tena hiyo Grand Malt,ndo ilikalibia kuniua kabisa. Maana kila jioni baada ya kazi ilikuwa lazima ninywe. Baadae nikaanza kuhisi maumivu ya kipanda uso na kizunguzungu. Huo ndo ukawa mwanzo wa kuacha kabisa soft drinks.You can't be serious ati kuacha soda ni zoezi gumu..[emoji23]
Hichi mbona kitu rahisi sana, mkuu Kama kuacha soda mpaka upambane vipi uraibu wa pombe je..? Punyeto vipi..?
Mkuu jitahidi uache aisee mi kinywaji Cha kiwandani nilichobakiza sahivi ni grand malt hii sidhani Kama nitaiacha japo huwa siinywi Mara kwa Mara..[emoji28]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] imebidi nicheke japo inahuzunisha.Duuu!Kuna mshikaji wangu alikua anakunywa Pepsi nne kwa siku.
Siku moja kaenda kunyoa saloon Sasa kinyozi anaendelea kunyoa kumbe jamaa kashakata Moto (kazimia) tulimbeba Kama gunia peleka nje apigwe na upepo
Biashara tu,hakuna soda ambayo haina sukariKuna soda zimetengenezwa kwa wenye tatizo la sukar
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kazi ipo!Mimi beer ninaacha wiki mbili mpaka mwezi baadae kuna kitu kinaniita nikishtua moja zinafululiza hadi asubuhi
Naipenda Sana hii uzuri siinywi kwa pupa kwa mwezi Mara moja Tena hupita muda mrefu sometimes..Tena hiyo Grand Malt,ndo ilikalibia kuniua kabisa. Maana kila jioni baada ya kazi ilikuwa lazima ninywe. Baadae nikaanza kuhisi maumivu ya kipanda uso na kizunguzungu. Huo ndo ukawa mwanzo wa kuacha kabisa soft drinks.
Labda nirukwe na akili ndo naweza acha nyama mimi.Mimi nimeacha mwezi huu na nyama pia nimeacha
Nlicha rasmi 1/1/2016-April 2021, nmerudia tena Soda ila nakunywa kukiwa na mazingira ya kufanya hivyo, tafaut na zaman, sikuwa nkinywa hata chai. Ni Pepsi na mie mchana kutwa, nlikuwa nakunywa had 5 kwa siku. Ila kwa sasa nakunywa 3 kwa wikiMwaka 2017 nikiwa chuoni niliamua kuacha kunywa soda na soft drinks zote baada ya kupima sukari na kukuta ikiwa juu kiasi.
Sasa imetimia miaka 4 bila kunywa na nimezoea kabisa. Najihisi kuwa na afya njema sana na wala sitamani zaidi ya kuwaonea huruma wanaotumia. Asante Mungu!
😀😀😀 ni sawa na kuacha kupumua , alafu uone kama utaishiHoly Man na wewe acha ile kitu. 🤣🤣🤣
Pambana na mchuchumio kwa kuwa kina kwenda kubadilika soon kama virusi vya corona, mara alfa mara delta, sa sijui kutoka mchuchumio kitabadilika kuwa nini[emoji16][emoji23][emoji23]Itakua ndio kimenichagua mimi kuwa mfano....[emoji17]
Mimi nimeacha mwezi huu na nyama pia nimeacha
Mimi ni shahidi wa hili mzee wangu amefanikiwa kubalance sukari kutoka 22 Hadi 6 kwa kuacha kula wanga tu anatumia mbogamboga matunda na aina zote za protein. Ni kweli tumedanganywa sanaaNyama, Maziwa, mayai, samaki havina madhara kwenye miili yetu. Kuna madokta feki kina Ndodi walitudanganya sana.
Wanga (ugali na wali), soda, pombe hivi ni hatari sana kwa afya zetu.