Nimefanikiwa kuacha kunywa soda

Nimefanikiwa kuacha kunywa soda

Nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuacha pepsi, najua sitaweza kuikwepa 100% lakini walau isiwe uraibu. Naweza kunywa moja kwa wiki toka 3 kwa siku, naona maendeleo mazuri ikiwemo kuongeza ufanisi katika kufikiria lakini pia hata performance ya game,
Pepsi kama Pepsi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 2017 nikiwa chuoni niliamua kuacha kunywa soda na soft drinks zote baada ya kupima sukari na kukuta ikiwa juu kiasi.

Sasa imetimia miaka 4 bila kunywa na nimezoea kabisa. Najihisi kuwa na afya njema sana na wala sitamani zaidi ya kuwaonea huruma wanaotumia. Asante Mungu!
Sasa Hivi Una Sukari Kiasi Gani Mwilini
 
Chumvi sio mbaya sana ila ikiila nyingi italeta matatizo ya moyo na figo.
 
Mwaka 2017 nikiwa chuoni niliamua kuacha kunywa soda na soft drinks zote baada ya kupima sukari na kukuta ikiwa juu kiasi.

Sasa imetimia miaka 4 bila kunywa na nimezoea kabisa. Najihisi kuwa na afya njema sana na wala sitamani zaidi ya kuwaonea huruma wanaotumia. Asante Mungu!
Hongera sana
 
Back
Top Bottom