UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Ni kweli kabisa.Yule Prof Janabi alisema ni hatari Sana kunywa juice zilizochanganywa na matunda mbalimbali maana kila tunda Lina sukari yake kwa kiwango tofauti tofauti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa.Yule Prof Janabi alisema ni hatari Sana kunywa juice zilizochanganywa na matunda mbalimbali maana kila tunda Lina sukari yake kwa kiwango tofauti tofauti.
Huo uteja.Hata mniuee pepsi baridiiii siachii.........................
Haaa.. Tena hiyo ndio mbaya hiyo inasukari Sana..Hongera, nami najitahidi kupunguza maana nilikuwa mlevi wa mirinda nyeusi
[emoji2]Dah!!! Sema kweli...Hata mniuee pepsi baridiiii siachii.........................
Pepsi kama Pepsi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuacha pepsi, najua sitaweza kuikwepa 100% lakini walau isiwe uraibu. Naweza kunywa moja kwa wiki toka 3 kwa siku, naona maendeleo mazuri ikiwemo kuongeza ufanisi katika kufikiria lakini pia hata performance ya game,
Sasa Hivi Una Sukari Kiasi Gani MwiliniMwaka 2017 nikiwa chuoni niliamua kuacha kunywa soda na soft drinks zote baada ya kupima sukari na kukuta ikiwa juu kiasi.
Sasa imetimia miaka 4 bila kunywa na nimezoea kabisa. Najihisi kuwa na afya njema sana na wala sitamani zaidi ya kuwaonea huruma wanaotumia. Asante Mungu!
Inasuuza Koo Vizuri Sana
Pepsi kama juice shem[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Balaa zito..Pepsi kama juice shem[emoji23][emoji23][emoji23]
Coca na peps zina caffein na hiki ndo kinacho sababisha sales iwe kubwa sanaHata mniuee pepsi baridiiii siachii.........................
Kabisa mkuu Makiwendo wanaosema bia tamu hawajui utamu wa pepsi.......
Tena Pepsi ile chupa ya zamani[emoji12]Kabisa mkuu Makiwendo wanaosema bia tamu hawajui utamu wa pepsi.......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera sanaMwaka 2017 nikiwa chuoni niliamua kuacha kunywa soda na soft drinks zote baada ya kupima sukari na kukuta ikiwa juu kiasi.
Sasa imetimia miaka 4 bila kunywa na nimezoea kabisa. Najihisi kuwa na afya njema sana na wala sitamani zaidi ya kuwaonea huruma wanaotumia. Asante Mungu!