labda tcra wanisaidie maana nimefanya ubunifu wa kipekee sio kwamba tcra awajaniona hapana radio langu niya pili kusikilizwa baada ya. clouds utapitia hii chat hapa
Free Internet Radio Stations - best Tanzania music and talk stations at Online Radio Box na hapo nimeenza tu mwaka jana mwishoni napata wasikilizaji hadi 500 kwa wakati 1 maana radio iko kila nchi
hakuna radio ambayo iko kila nchi zaidi ya tzgospel mfano radio iwe na frequency kila nchi ndio ilivo tzgospel radio
jambo la pili ni radio inajiunga na tbc taarifa ya habari saa 1 asubuhi mukhutasari 5 adhuhuri,saa kumi jioni na saa 2 usiku na kujiunga na dw 7 mchana na 12 jioni ila kwa dw ni ulimwengu wa habari pekee ake sio zaidi ya dakika 10 na hapo inajiunga yenyewe bila internet
hakuna radio yoyote duniani imefikia hivi nyingi wanaweka nyimbo tu basi nafikiri tcra wanisaidie hapo