Nimefanikiwa kufungua online radio

Nimefanikiwa kufungua online radio

Nimependa hiyo. Katik orodha ya wtngazaji wa vipindi vy usiku (ikiwemo taarifa ya habari) weka na jina langu. Kam mdau aliyetangulia, sitaki kufa kabla sijasikika redioni.
kila mtangazaji ana kuwa anatangazia alipo na sauti itasikika vizuri hatarii
 
Na mimi nsmshangaa. Hapa kajishitaki tcra. Watamtokea mara moja kama mwewe
kuna kijana yuko kigoma alifungua radio kwani alikamatwa ? au hadi na mimi nimuite milard ayo ? bro ili jambo ni kubwa mno wao pia wameona
labda tcra wanisaidie maana nimefanya ubunifu wa kipekee sio kwamba tcra awajaniona hapana radio langu niya pili kusikilizwa baada ya. clouds utapitia hii chat hapa Free Internet Radio Stations - best Tanzania music and talk stations at Online Radio Box na hapo nimeenza tu mwaka jana mwishoni napata wasikilizaji hadi 500 kwa wakati 1 maana radio iko kila nchi

hakuna radio ambayo iko kila nchi zaidi ya tzgospel mfano radio iwe na frequency kila nchi ndio ilivo tzgospel radio

jambo la pili ni radio inajiunga na tbc taarifa ya habari saa 1 asubuhi mukhutasari 5 adhuhuri,saa kumi jioni na saa 2 usiku na kujiunga na dw 7 mchana na 12 jioni ila kwa dw ni ulimwengu wa habari pekee ake sio zaidi ya dakika 10 na hapo inajiunga yenyewe bila internet

hakuna radio yoyote duniani imefikia hivi nyingi wanaweka nyimbo tu basi nafikiri tcra wanisaidie hapo
 
png_20220710_070151_0000.png
 
kwa sasa pia idhaa ya dw itakua inasikika live kupitia tzgospel online radio ila ulimwengu wa habari pekee sio lisaa lizima tunakatusha dakika 10 hivi za mwanzo sikiliza hapa > Tzgospel
 
Una run radio Yako kutoka host gan maana online zote zinategemea host Fulani mfano ni zile zinazo ruhusu kutengeneza alaf unalipia subscription
 
bwana yesu asifiwe! wadau wa jf basi nimecheguliwa kuwania tuzo ya vijana wabunifu TEYA yani tanzania emerging youth award,basi unaweza kunipigia kura online utaingia hapa TEYA | Tanzania Emerging Youth Awards utaona TZGOSPEL RADIO utaweka vote hapo basi utakuwa umenika kwenye kushinda tuzo iyo.basi niwachukuru maana jf akuna jambo linalo shindikana asanteni wadau.
Screenshot_20220810-182406.png
 
usikose kusikiliza TZGOSPEL ONLINE RADIO tumekuandalia nyimbo nzuri za gospel kama
sebene
reggae gospel
hiphop
nyimbo za zamani
tenzi za roho
lakini pia tutakua tunajiunga TBC TAIFA kukuletea taarifa ya habari na kurusha LIVE vipindi vya BUNGE /MATUKIO YA KISERIKALI
pia tunajiunga DW swahili kwenye taarifa ya habari saa12 Asubuhi saa7mchana na saa12jioni japo tuna katisha ulimwengu wa habari ukiisha tunakatisha.

pia kwa sasa kila usiku kuanzia saa 3 tunajiunga KBC TAIFA RADIO KENYA kukuletea uchambuzi wa matokeo ya uchaguzi na wakati tume ya uchanguzi kenya inamtangaza mshindi wa kiti cha uraisi kenya basi tutarusha LIVE

Pia radio yetu inaweza kujiunga na radio yeyote kurusha vipindi
tupo Instagram,tiktok,facebook ni @tzgospel wasiliana nasi +255757560345
 
leo tzgospel radio tunajiunga na kbc taifa radio au milele fm kukuletea matangazo ya moja moja wakati wa tukio la kumtangaza mshindi wa kiti cha urasi kenya linki hii hapa >Tzgospel
tuachie maoni yako kwenye link iyo kuanzia saa 9 mchana
 
bwana yesu asifiwe! wadau wa jf basi nimecheguliwa kuwania tuzo ya vijana wabunifu TEYA yani tanzania emerging youth award,basi unaweza kunipigia kura online utaingia hapa TEYA | Tanzania Emerging Youth Awards utaona TZGOSPEL RADIO utaweka vote hapo basi utakuwa umenika kwenye kushinda tuzo iyo.basi niwachukuru maana jf akuna jambo linalo shindikana asanteni wadau.
View attachment 2320275
Nimekupigia kura Kijana wa MUNGU. Barikiwa sana Mtumishi
 

Attachments

  • Screenshot_2022-08-15-14-02-54-401_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2022-08-15-14-02-54-401_com.android.chrome.jpg
    54.8 KB · Views: 17
wadau wa jf naomba unisaidie kupiga kura kwenye tuzo ya tanzania emerging youth award 2022 ambapo nipo kwenye kipengele cha media of the years utaona radio yetu ya TZGOSPEL uta vote apo link hii
 
zoezi la kupiga kura sasa limeisha nashukuru sana kwa kwa wale wote milio nipigia kura,tzgospel atuwaangishii ushindi ni lazima sababu tunaye MUNGU .

kwenye hii tuzo pia maxence melo mwazilishi jf pia yupo katika maandalizi ya hii tuzo viongozi wengine wakubwa wapo kuhakikisha vijana tunafikia malengo yetu.
 
Back
Top Bottom