Nimefanikiwa kufungua online radio

Nimefanikiwa kufungua online radio

Hongera sana Mkuu,nimesoma maelezo yako yote,nitaijaribu app yako nilete mrejesho,usikate tamaa,hivi kwa uzoefu wako msikilizaji wa kawaida anaweza kutumia data kiasi gani kwa saa 24 akisikiliza online radio yako?

Hili swali ukilipatia majibu basi unaweza ukaongeza kwenye sehemu ya maelezo ya radio yako ili mtu anajua kwamba natakiwa niwe na data kiasi fulani bila kuwa na wasiwasi.
shukrani kaka,kwa saa 24 ni Gb 1.440 wastani kwa lisaa ni mb 60 tu haizidi apo ni kiasi kidogo cha mb
 
shalom
mrejesho
nimepokea pesa kutoka south africa kwa mwana jf amenitumia tsh 64482

pesa nyingine nimepokea kupitia world remit 23500 hiyo sujui aliye tuma ni nani mpaka sasa

nashukuru sana. sanaaa


apa nimesha pata mic 1 bado headphone na laptop
nimeanza mchakato wa kusajili nafikiri mwezi ujao nitakamilisha mungu awabariki
16564258128792038091394.jpg
 
habari za wakati huu wadau jf ? Shalom nimepata fursa ya kuwania tuzo TANZANIA EMERGING YOUTH AWARD 2022 asanteni sana wana jf naamini walipata taarifa zangu hapa.
kusikiliza tzgospel online radio hapa


733f7513-25c7-45b7-82b9-13c601f1d0a1.jpeg
 
usiwaze kaka system iliyopo unaweza kutangaza ukiwa hapo hapo ili mradi tu uwe na access net basi na katika kitu nilicho plan watangazi wote watakua wanatangazia sehem tofauti hakuna kujazana studio wala nini cha msingi nikusajili tu mambo yote safiii itakua radio ya kwanza ina watangazaji ambao awafiki studio hahaha!
Nimependa hiyo. Katik orodha ya wtngazaji wa vipindi vy usiku (ikiwemo taarifa ya habari) weka na jina langu. Kam mdau aliyetangulia, sitaki kufa kabla sijasikika redioni.
 
Hongera Sana Kaka kwa hatua uliyofikia,hakika nimevutiwa! kwa kuwa uko kimataifa zaidi nashauri jaribu kuhariri kila unachokiandika ili kupunguza makosa ya Herufi au maneno ili uwe perfect zaidi! Unaweza tafuta mtu wa kupitia maandishi yako kabla hujayaweka mtandaoni.
 
Haujakamatwa
labda tcra wanisaidie maana nimefanya ubunifu wa kipekee sio kwamba tcra awajaniona hapana radio langu niya pili kusikilizwa baada ya. clouds utapitia hii chat hapa Free Internet Radio Stations - best Tanzania music and talk stations at Online Radio Box na hapo nimeenza tu mwaka jana mwishoni napata wasikilizaji hadi 500 kwa wakati 1 maana radio iko kila nchi

hakuna radio ambayo iko kila nchi zaidi ya tzgospel mfano radio iwe na frequency kila nchi ndio ilivo tzgospel radio

jambo la pili ni radio inajiunga na tbc taarifa ya habari saa 1 asubuhi mukhutasari 5 adhuhuri,saa kumi jioni na saa 2 usiku na kujiunga na dw 7 mchana na 12 jioni ila kwa dw ni ulimwengu wa habari pekee ake sio zaidi ya dakika 10 na hapo inajiunga yenyewe bila internet

hakuna radio yoyote duniani imefikia hivi nyingi wanaweka nyimbo tu basi nafikiri tcra wanisaidie hapo
 
asante
Hongera Sana Kaka kwa hatua uliyofikia,hakika nimevutiwa! kwa kuwa uko kimataifa zaidi nashauri jaribu kuhariri kila unachokiandika ili kupunguza makosa ya Herufi au maneno ili uwe perfect zaidi! Unaweza tafuta mtu wa kupitia maandishi yako kabla hujayaweka mtandaoni.
asante sana kaka nitaanza kufatilia
 
Back
Top Bottom