Kigger
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 850
- 772
- Thread starter
- #121
acha roho mbaya ningekua kenya au rwanda ni habari kubwa ila hapa tz awadhamini ili jambo ni kubwa akuna radio yoyote ya online ipo kila nchi ata iyo clouds hawapo kila nchi,kwenye list za radio za kenya uwezi kuta clouds ila utakuta tzgospel pekee unafikiri kwani hao awataki?ni ngumu kufanya ivo hawafahamu namna ya kufanya ivo ata nikikosa kibali kwa tanzania haita fanya kazi ila kwa nchi zingine injili itaendela,alafu nataka nikwambie kuwa tcra wameona na wanasikiliza maana ipo kwenye top radio za online tz nilianza mwaka jana mpaka sasa naamini tcra wanaiyona na wanasikiliza pia kuna matangazo ya serikali naya chezaWarumi 13:1 SRUV
Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
Wewe ni sawa na WAHUNI wengine TU...TII MAMLAKA
usizime ndoto zangu naipenda nchi yangu ndio maana ata logo kuna bendera ya nchi yangu ata wazungu wananitumia imail nyingi kujua kwa nini nimefanya ivo usizime ndoto zangu usikatishe tamaa acha kila mtu aonyeshe uwezo wake wapo vijana wanauwezo wametulia tu awajui wapi pakuanzia